Wa Bongo Wengi hawana Elimu kuhusiana na " YAHOO BOYZ" wa Naija

Wa Bongo Wengi hawana Elimu kuhusiana na " YAHOO BOYZ" wa Naija

Watanzania tunaishi kwenye

"Kama haimeki mane, bhasi haimeki sensi"

Kwa sababu hatuna utamaduni wa kutamani maarifa mapya au data unless ni football inazungumziwa. Maana hapo ndipo watu hugeuka maestro wa kuchambua historia, mifumo na takwimu

Ila huku kwingine, tunajongea
 
Back
Top Bottom