Wa kumrithi Hanniyeh, HAMAS wangeuchuna ingewapunguzia nini?

Wa kumrithi Hanniyeh, HAMAS wangeuchuna ingewapunguzia nini?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

IMG_20240807_093829.jpg


Sasa hili la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
 
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

View attachment 3063488

Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito vya nini?
Kwahyo ulivyomuoga ww unafikiri na wengine pia waoga Kuna watu Wana sacrifice maisha yao kwa ajili ya nchi yao hawana Cha kuogopa ww hapo ulipo hata nchi yako ikiingia vitani utajificha kwenda front
 
Kwahyo ulivyomuoga ww unafikiri na wengine pia waoga Kuna watu Wana sacrifice maisha yao kwa ajili ya nchi yao hawana Cha kuogopa ww hapo ulipo hata nchi yako ikiingia vitani utajificha kwenda front

Wapi nimesema au kuonyesha woga?

Ni muhimu katika medani za vita kutomsaidia adui Kwa kujishasha kwa kipiga wala kuthibitisha kupigwa.

Kulikoni wao au washirika wao hata kukiri kuhusika au kuthibitisha shambulizi au athari zake?
 
We unafikiri hao ni waoga waoga kama wewe?

Kwamba:

"Kukiri kuhusika au kuthibitisha shambulizi au athari?"

Kwako wewe huo ni ushujaa?

Wewe unadhani Israel hawafanyizi, hawafi, kushambuliwa au kuathirika?

Kwamba ukikaa kimya utapungukiwa nini?
 
Kwamba:

"Kukiri kuhusika au kuthibitisha shambulizi au athari?"

Kwako wewe huo ni ushujaa?

Wewe unadhani Israel hawafanyizi, hawafi, kushambuliwa au kuathirika?

Kwamba ukikaa kimya utapungukiwa nini?
Hizo ni medani za kivita huwezi kuelewa kama hujacheza hata mgambo
 
Ilikua lazima hamas wachague kiongozi tena ndani ya muda mfupi hivi wamefanya lamaana
Kwanza wameonesha kwamba hamas ni taasisi kubwa kifo cha haniye kimeleta pigo ila hakijaifanya hamas kushindwa kuendelea na majambo yake
Pia imeonesha kwamba hamas wana utaratibu wao kwamba akifa fulani ama ikitokea kashindwa kuongoza basi mbadala yupo ama wapo wakutosha
Pia hamas wanatukumbusha kwamba kila sehemu lazima kuwepo na kiongozi ili majambo yaende
Mwisho sio tu hamas hata lingekua kundi jengine lolote kama lingekua na misingi imara na thabiti kama iliyonayo hamas ni lazima wangechagua kiongozi baada ya muda mfupi kama walivyofanya hamas
Mazayuni mpaka yateme bungo safari hii
 
Wapi nimesema au kuonyesha woga?

Ni muhimu katika medani za vita kutomsaidia adui Kwa kujishasha kwa kipiga wala kuthibitisha kupigwa.

Kulikoni wao au washirika wao hata kukiri kuhusika au kuthibitisha shambulizi au athari zake?
Ww muoga TU hv ww ungekuwa hania hata misibani usingeenda huyo amechaguliwa na atafanyakzi zake kama kawaida kufa kila mtu atakufa
 
Kwa vile wewe askari joga! Unaona wengine wako kama wewe...
Siku amka mwambie Baba mwenye nyumba yako ahame au alipe aanze kulipa kodi..😂😂😂
Yaani una test moyo wako kama utaweza kustamili mtiti..
 
Ilikua lazima hamas wachague kiongozi tena ndani ya muda mfupi hivi wamefanya lamaana
Kwanza wameonesha kwamba hamas ni taasisi kubwa kifo cha haniye kimeleta pigo ila hakijaifanya hamas kushindwa kuendelea na majambo yake
Pia imeonesha kwamba hamas wana utaratibu wao kwamba akifa fulani ama ikitokea kashindwa kuongoza basi mbadala yupo ama wapo wakutosha
Pia hamas wanatukumbusha kwamba kila sehemu lazima kuwepo na kiongozi ili majambo yaende
Mwisho sio tu hamas hata lingekua kundi jengine lolote kama lingekua na misingi imara na thabiti kama iliyonayo hamas ni lazima wangechagua kiongozi baada ya muda mfupi kama walivyofanya hamas
Mazayuni mpaka yateme bungo safari hii
Sinwar anataarifa kwamba Haniye ameuawa na kwamba yeye ndiye amechaguliwa kuiongoza HAMAS?
 
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

View attachment 3063488

Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
Kwanini wauchune?

Hamas ni chombo cha kihalali na kilipata kura kihalali, hakifanyi mambo yake kwa siri.
 
Ilikua lazima hamas wachague kiongozi tena ndani ya muda mfupi hivi wamefanya lamaana
Kwanza wameonesha kwamba hamas ni taasisi kubwa kifo cha haniye kimeleta pigo ila hakijaifanya hamas kushindwa kuendelea na majambo yake
Pia imeonesha kwamba hamas wana utaratibu wao kwamba akifa fulani ama ikitokea kashindwa kuongoza basi mbadala yupo ama wapo wakutosha
Pia hamas wanatukumbusha kwamba kila sehemu lazima kuwepo na kiongozi ili majambo yaende
Mwisho sio tu hamas hata lingekua kundi jengine lolote kama lingekua na misingi imara na thabiti kama iliyonayo hamas ni lazima wangechagua kiongozi baada ya muda mfupi kama walivyofanya hamas
Mazayuni mpaka yateme bungo safari hii

Mkuu HAMAS ni taasisi kubwa na hii:

IMG_20240807_102247.jpg


ilikuwa j*mba j*mba tosha sana kwa msayuni.
 
Kwanini wauchune?

Hamas ni chombo cha kihalali na kilipata kura kihalali, hakifanyi mambo yake kwa siri.
Kwani wangeuchuna ingewapunguzia nini? Sasa wamemtangaza huyo imewasaidia nini?

IMG_20240807_102247.jpg


Au wewe hauko humo? Mbona tulioko humo tuko very proud?
 
Kwa vile wewe askari joga! Unaona wengine wako kama wewe...
Siku amka mwambie Baba mwenye nyumba yako ahame au alipe aanze kulipa kodi..😂😂😂
Yaani una test moyo wako kama utaweza kustamili mtiti..

Kumbe wewe kamanda jasiri umekomaa wapi na ngumi yako unayozungusha?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Mkuu HAMAS ni taasisi kubwa na hii:

View attachment 3063540

ilikuwa j*mba j*mba tosha sana kwa msayuni.
Hawa watu wangechagua kuijenga ga,a na kuleta maendelea kwa misaada wanayopata wangekuwa mbali sana.Wao kwa kukosa akili wakachagua kuchimba mahandaki na kufanya harakati.Gaza ingekuwa zaidi ya dubai kama wasingekuwa magaidi
 
Back
Top Bottom