Wa kumrithi Hanniyeh, HAMAS wangeuchuna ingewapunguzia nini?

Wa kumrithi Hanniyeh, HAMAS wangeuchuna ingewapunguzia nini?

Hizo ni medani za kivita huwezi kuelewa kama hujacheza hata mgambo

Kumbe wewe Colonel unayezielewa mno uliwahi kufanyiza nazo wapi?

Au chumbani ukikomaa kikamanda, kukunja ngumi na kuzungusha?

Makamanda uchwara kwa kijifanya wajuzi huku wamepiga magoti wanaomba katiba mpya, hamjqmbo.

Kumbe cheche zenu ziko wap basi?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kumbe wewe Colonel unayezielewa mno uliwahi kufanyiza nazo wapi?

Au chumbani ukikomaa kikamanda, kukunja ngumi na kuzungusha?

Makamanda uchwara kwa kijifanta wajuzi huku wamepiga magoti wanaomba katiba mpya.

Kumbe cheche zenu ziko wapi?
We bado mdogo iko siku utaelewa.
 
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

View attachment 3063488

Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
Hilo neno "madhwalimu" maana yake ni nini mkuu?
 
Kumbe wewe Colonel unayezielewa mno uliwahi kufanyiza nazo wapi?

Au chumbani ukikomaa kikamanda, kukunja ngumi na kuzungusha?

Makamanda uchwara kwa kijifanta wajuzi huku wamepiga magoti wanaomba katiba mpya.

Kumbe cheche zenu ziko wapi?
Mwamba leo una jambo🤣🤣🤣
Wamekosea kutoa target
 
Ww muoga TU hv ww ungekuwa hania hata misibani usingeenda huyo amechaguliwa na atafanyakzi zake kama kawaida kufa kila mtu atakufa

Ustaadh nakuona uko kiimani zaidi. Huko hata kina viboko wa wachawi wapo ndugu.

Vita hivi si kutanguliza vifua. Huku kuna drones.

Hivi si vita vya kumlilia mnyazi Mungu.

Ninawaelewa hawa ndugu:

IMG_20240807_102247.jpg


Humo nimo najua ustaadh Bwana Utam yumo lakini joga kama wewe bila shaka huwezi kuwamo.

Vita si mdomo!
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Ilikua lazima hamas wachague kiongozi tena ndani ya muda mfupi hivi wamefanya lamaana
Kwanza wameonesha kwamba hamas ni taasisi kubwa kifo cha haniye kimeleta pigo ila hakijaifanya hamas kushindwa kuendelea na majambo yake
Pia imeonesha kwamba hamas wana utaratibu wao kwamba akifa fulani ama ikitokea kashindwa kuongoza basi mbadala yupo ama wapo wakutosha
Pia hamas wanatukumbusha kwamba kila sehemu lazima kuwepo na kiongozi ili majambo yaende
Mwisho sio tu hamas hata lingekua kundi jengine lolote kama lingekua na misingi imara na thabiti kama iliyonayo hamas ni lazima wangechagua kiongozi baada ya muda mfupi kama walivyofanya hamas
Mazayuni mpaka yateme bungo safari hii
Huwa na tofautiana sana tu na mleta mada, ila ukimsoma vizuri andiko lake kuna hoja ambayo wengi hamuioni. Katika andiko hili amedhibiti kabisa hisia na ameongea objectively zaidi.
 
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

View attachment 3063488

Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
Sinwar si mtu wa kuwekwa public, huyu mtu amefanikiwa kujificha kwa muda mrefu now wana mu expose? This guys
 
Hawa watu wangechagua kuijenga ga,a na kuleta maendelea kwa misaada wanayopata wangekuwa mbali sana.Wao kwa kukosa akili wakachagua kuchimba mahandaki na kufanya harakati.Gaza ingekuwa zaidi ya dubai kama wasingekuwa magaidi
Ungelikuwa katika situation ya Gaza, Hamas na Palestine kwa ujumla usingeliandika hiki.

Ni sawa na kusema kwa nini wazee wetu wakati wa utumwani na ukoloni hawakujenga maghorofa yao.
 
Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.

Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?

Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.

View attachment 3063488

Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?

Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?

Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.

Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
Ulitaka chama kiendeshwe bila uongozi ? Kwa kipindi gani haswa ?
 
Huwa na tofautiana sana tu na mleta mada, ila ukimsoma vizuri andiko lake kuna hoja ambayo wengi hamuioni. Katika andiko hili amedhibiti kabisa hisia na ameongea objectively zaidi.
Hoja ipi ?
 
Huwa na tofautiana sana tu na mleta mada, ila ukimsoma vizuri andiko lake kuna hoja ambayo wengi hamuioni. Katika andiko hili amedhibiti kabisa hisia na ameongea objectively zaidi.
Hata mie namuona pia kama anahoja sana
Ila wewe msaidie kujibu ulitaka hamas isiwe tena na kiongozi ama baada ya muda gani?
 
Back
Top Bottom