Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Unajua huyo nduo moyo wa hamas when it comes to secret operations. Israel wamemtafuta huyo jamaa kwa muda mrefu mnoKwa nini si mtu wa kuwekwa public ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua huyo nduo moyo wa hamas when it comes to secret operations. Israel wamemtafuta huyo jamaa kwa muda mrefu mnoKwa nini si mtu wa kuwekwa public ?
Huwa na tofautiana sana tu na mleta mada, ila ukimsoma vizuri andiko lake kuna hoja ambayo wengi hamuioni. Katika andiko hili amedhibiti kabisa hisia na ameongea objectively zaidi.
Kuna taarifa zilitolewa kuwa Israel ilifanikiwa kupata location ya huyo jamaa. Ila lengo lilikuwa kuipiga Gaza na pia kwa ajili ya mateka wakaachana nae. Huyo mwamba ndie anajua uhalisia wa Oct 7 maana alikuwa field.Unajua huyo nduo moyo wa hamas when it comes to secret operations. Israel wamemtafuta huyo jamaa kwa muda mrefu mno
Sinwar si mtu wa kuwekwa public, huyu mtu amefanikiwa kujificha kwa muda mrefu now wana mu expose? This guys
Hamas si genge la kihalifu na halipaswi kujiendesha kama genge la kihalifu kwamba akiuawa msuka mipango linaparanganyika genge lote.Unajua huyo nduo moyo wa hamas when it comes to secret operations. Israel wamemtafuta huyo jamaa kwa muda mrefu mno
Wangekuwa sio waoga wasingejificha kwenye mashimo kama panya buku.We unafikiri hao ni waoga waoga kama wewe?
Umesema vyema.Ilikua lazima hamas wachague kiongozi tena ndani ya muda mfupi hivi wamefanya lamaana
Kwanza wameonesha kwamba hamas ni taasisi kubwa kifo cha haniye kimeleta pigo ila hakijaifanya hamas kushindwa kuendelea na majambo yake
Pia imeonesha kwamba hamas wana utaratibu wao kwamba akifa fulani ama ikitokea kashindwa kuongoza basi mbadala yupo ama wapo wakutosha
Pia hamas wanatukumbusha kwamba kila sehemu lazima kuwepo na kiongozi ili majambo yaende
Mwisho sio tu hamas hata lingekua kundi jengine lolote kama lingekua na misingi imara na thabiti kama iliyonayo hamas ni lazima wangechagua kiongozi baada ya muda mfupi kama walivyofanya hamas
Mazayuni mpaka yateme bungo safari hii
Kuna taarifa zilitolewa kuwa Israel ilifanikiwa kupata location ya huyo jamaa. Ila lengo lilikuwa kuipiga Gaza na pia kwa ajili ya mateka wakaachana nae. Huyo mwamba ndie anajua uhalisia wa Oct 7 maana alikuwa field.
Kwahiyo we unawaza network tu?Wangekuwa sio waoga wasingejificha kwenye mashimo kama panya buku.
Sinwar sijui atakiongoza vipi hicho kikundi maana yuko shimoni 24/7 ambako hakuna network Bora hata yule Haniyeh alikuwa anazunguka huku na kule kuomba uungwaji mkono
Wangekuwa sio waoga wasingejificha kwenye mashimo kama panya buku.
Sinwar sijui atakiongoza vipi hicho kikundi maana yuko shimoni 24/7 ambako hakuna network Bora hata yule Haniyeh alikuwa anazunguka huku na kule kuomba uungwaji mkono
ISraei imeshasema itamuua muda wowote kuanzia sasa, kwa hiyo usihofu.Kutokea nje ili kuwa shabaha rahisi huo ni ujinga si ushujaa.
Nani asiyejua kuwa wakati Palestine hapati hata chakula Marekani inamsaidia Israel Hadi Kuna boots on ground?
Mashimoni ni mbinu ya medani.
Kwani hadi sasa hivi mwisrael au Marekani wanasema je?
Ili iweje? Hakuna siri ya kiongozi wa Hamas. Viongozi wa hamas wa kisiasa huwezi kuwaficha. Kuna wengi sana wa mambo mengine hawajulikani.Kwani wangeuchuna ingewapunguzia nini? Sasa wamemtangaza huyo imewasaidia nini?
View attachment 3063542
Au wewe hauko humo? Mbona tulioko humo tuko very proud?
Magaidi sio waoga wako tayari kufa kumpigania allahWe unafikiri hao ni waoga waoga kama wewe?
Umesema vyema.
Taasisi/mamlaka yoyote lazima yawe na kiongozi anayetambuliwa na watu wote.
Kiongozi lazima awepo na afamike kwasababu bila hivyo, utakosa.
1. Muamuzi mkuu ayesimamia vision katika hiyo taasisi/mamlaka.
2. Rahisi kutokea uasi kama hakuna kiongozi anayefahamika.
3. Rahisi adui kupotosha ajenda yenu kwakutumia mwanya wakutokujulikana kwa kiongozi anayefahamika.
4. Kiongozi lazima afahamike kwasababu si tu anasaidia katika kazi za kila siku lakini pia yeye ni CHACHU ya vijana/watu kupata mwamko zaidi wakuendeleza harakazi hizo wanazopigania.
5. Maelfu ya miaka taasisi/nchi/vikundi vya kudai uhuru au hata ugaidi kumekuwepo na KIONGOZI anayejulikana.
we usiemuoga na kobas zako hapo mbagala hata ID yako yenyewe fakeWe unafikiri hao ni waoga waoga kama wewe?
Unaandika tu bila kufanya kiutafiti japo kidogo!Hawa watu wangechagua kuijenga ga,a na kuleta maendelea kwa misaada wanayopata wangekuwa mbali sana.Wao kwa kukosa akili wakachagua kuchimba mahandaki na kufanya harakati.Gaza ingekuwa zaidi ya dubai kama wasingekuwa magaidi
Hamas ni Kundi la magaidi. Ndio maana wanashughulikiwa kigaidiKwanini wauchune?
Hamas ni chombo cha kihalali na kilipata kura kihalali, hakifanyi mambo yake kwa siri.
Ili iweje? Hakuna siri ya kiongozi wa Hamas. Viongozi wa hamas wa kisiasa huwezi kuwaficha. Kuna wengi sana wa mambo mengine hawajulikani.
Ngoja nije na uzi.
Myahudi yeye anakimbiza mwizi kimya kimya. Na anawadonoa kweli. Chezea MOSSADWangekaa tu kimya,kwa nini wametangaza?
sijui hata umeandika nini!Tatizo ni uchu wa madaraka.
Mbona Gaddafi aliendelea kuwa colonel cheo kile kile alichokuwa nacho wakati wa mapinduzi?
Vipi Samuel Doe na Sgt wake?
Huu mwendelezo wa kuonja sumu ndiyo unaoyaleta haya ya vyeo hadharani.
Likelihood hata hajakuwa consulted kwenye hii appointment na labda hata Hana habari.