- Thread starter
- #81
hamna kaka ! kama ww si muoga mbona hujaweka details zako
Akikujibu usiache kutupa mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna kaka ! kama ww si muoga mbona hujaweka details zako
Afuate nini!? Mazungumzo ni mbinu ya Pakagaidi kupoteza muda, muongozo wakumaliza vita ulishatolewa na Marekani na hamas wameukubali kinachosubiriwa ni Israel kuanza utekelezaji na Hamas wafuatie.Kwamba wameamua kumpa Israel points zingine 3 karibuni. Of all the people huyu ndugu yuko Gaza?
Kwamba hata atafikaje Qatari?!
Hujanielewa Russia kusoma nilichouliza.
Marehemu Kila siku wanazikwa huko Gaza au ulikua hujui?Ukisikia Yahya Sinwar ni marehemu tayari usije sema miye ni nabii
Marehemu kila siku wanazikwa duniani kote. Hata singida kwa mwigulu huko ni kila siku.Marehemu Kila siku wanazikwa huko Gaza au ulikua hujui?
Rudia, du shekhe unawaza kamikaze tu😁Hujanielewa Russia kusoma nilichouliza.
Si watu wema. Hawana Mapenzi naye asilani.Wanatutambia ili tumuue mapemaa
Huyu hata asingelichaguliwa mwendo alishaumaliza. Alishakuwa target sikunyingi kwani hata vita inayoendelea yeye ndo mastermind wa lile shambulizi la october 7 . Ndo maana wakaamua iwe yeye. Wangemueka mwingine ingekuwa kuongeza number tu. Wako sahihi
Hahahaha hawa ndiyo Watanzania yaani ulivyo kunguru unadhani Hamas kama wewe na uoga wako wa kijinga nyie ndiyo mnataka kuitoa CCM madarakani.Kuna mambo hayana tija. Katika hayo ni pamoja na kukiri kuhusika na shambulizi au madhara ya shambulizi yanapowakuta.
Nani asiyejua kuwa wao wanazidiwa mno rasilimali?
Kwamba kuwaunga mkono ni wajibu, si kwa sababu ya ubabe wao bali kwa kuwa ni wahanga wa udhwalimu wanaofanyiwa.
View attachment 3063488
Sasa hii la kumteua Sinwar au awaye yote kuwa shabaha zaidi ya madhwalimu Iina tija gani?
Kwamba wana uhakika gani kuwa Sinwar hata hicho cheo atapata kukitumikia wapi?
Kwenye ukweli na uwazi wao labda katika imani zao, mara zingine hawa ndugu wanaramba garasa.
Ukombozi kwanza vyeo vizito vizito hivi vya nini?
Hahahaha hawa ndiyo Watanzania yaani ulivyo kunguru unadhani Hamas kama wewe na uoga wako wa kijinga nyie ndiyo mnataka kuitoa CCM madarakani.
Hamas ndiyo utaratibu wao vyeo vya kila akifa kuna wakuchukua nafasi kutoka kwa muasisi wao Sheikh Yasin.
Hawa viongozi wa Hamas wote wamezaliwa viwanja vya vita kwenye kambi za wakimbizi.
View: https://x.com/revmaxxing/status/1821054202707165216?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Si ndo namshangaa huyu jamaaMarehemu kila siku wanazikwa duniani kote. Hata singida kwa mwigulu huko ni kila siku.
Ndugu miye si kunguru. Kunguru hawako humu:
View attachment 3063617
Sisi tuko humo. Wewe umo humo au wewe ni wa vyeo?
Yahya Sinwar shujaa kama alivyo hivi vyeo hakuwa na haja navyo kama alivyokuwa Hanniyeh aliyekuwa kajitoa kufa siku zote.
Usisome kama kasuku soma kati ya mistari kuona.
Hatuwezi kupigana kama wajinga.
Hamas wanajua hilo kasome historia yao unataka kuwapangia Hamas harakati zao.Ukisikia Yahya Sinwar ni marehemu tayari usije sema miye ni nabii
Hata wewe ni marehemu mtalajiwa muongeze na Bikra Maria wawe 73.Soon sinwar nae anaenda kujitwalia mabikira zake 72 na mito ya pombe huko akhera.
R.i.p in advance
Hamas wanajua hilo kasome historia yao unataka kuwapangia Hamas harakati zao.
View: https://x.com/revmaxxing/status/1821095703050895762?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
poa na mito itiririkayo pombeHata wewe ni marehemu mtalajiwa muongeze na Bikra Maria wawe 73.