Wa kumrithi Hanniyeh, HAMAS wangeuchuna ingewapunguzia nini?

Usifikiri ni Wajinga!
Anaweza asiwe yeye! Au anaweza awe yeye lakini jina lake lisiwe halisi.
 
Kwahyo ulivyomuoga ww unafikiri na wengine pia waoga Kuna watu Wana sacrifice maisha yao kwa ajili ya nchi yao hawana Cha kuogopa ww hapo ulipo hata nchi yako ikiingia vitani utajificha kwenda front
unapoandika ishirikishe na akili yako , anasacrifice kwa kujificha huko Qatar?
 
Hawa watu wangechagua kuijenga ga,a na kuleta maendelea kwa misaada wanayopata wangekuwa mbali sana.Wao kwa kukosa akili wakachagua kuchimba mahandaki na kufanya harakati.Gaza ingekuwa zaidi ya dubai kama wasingekuwa magaidi
Kwenu ambao sio magaidi mumeendelea wapi licha yakupewa misaada mlopewa na mnayoendelea kupewa
Bora uwe maskini milele ila uendelee kupambania haqi yako mpaka uipate hata kama utachelewa
Ndio maana chachi na sunday school mnaambiwa muoane watu wa jinsia moja na mnakunali sababu misaada mnayopewa mkipingana nao watoaji ama mkienda kinyume nao tu mtaikosa
Sio lazima watu wote waendelee duniani mkiendelea ninyi watu waupunde inatosha
 
Mwanangu ukombozi hautaki uoga.waplestina wamepoteza viongozi wengi sana wa harakati za ukombozi inawezekana kuwa ni makumi au mamia.
Wakati huohuo wapalestina wamepoteza maelfu ya wapigania uhuru. Lakini hawaogopi. Unapopigana na adui mwenye nguvu kama Israel tegemea kifo muda wowote na wanajua. Waisrael wanataka kiongozi muoga ambae akiambiwa sitisha mapigano anaelewa Haniyah alikataa wakamuua. Vivyohivyo Sinwar si mlamba miguu wa kimagharibi si muoga wa kifo. Atapambana zaidi nA zaidi walipoishia wengine.
Viva Palestine.
 
Umenikumbusha wale waliokuwa wanasema bora Zelenskyy angenyoosha mikono tu amkabidhi Putin nchi yake ya Ukraine.
 
Kwahyo ulivyomuoga ww unafikiri na wengine pia waoga Kuna watu Wana sacrifice maisha yao kwa ajili ya nchi yao hawana Cha kuogopa ww hapo ulipo hata nchi yako ikiingia vitani utajificha kwenda front
Israel imeapa kumuangamiza na yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…