pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
povu la sabuni ama la wale wa wanaochonga sana kwa maneno!!!!!!
Maneno maneno sipendelei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
povu la sabuni ama la wale wa wanaochonga sana kwa maneno!!!!!!
Maneno maneno sipendelei
game zote za arsenal zlzobaki ni rahisi
Habari wana jf, naomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako..
Mfano:
Ualimu tanzania ni kazi ngumu kiasi
kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku
siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio
mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari
madaktari wa tanzania wanahitaji kulipwa zaidi. Zaidi ya hapo mnakaribisha vifo vingi ambavyo vinatokana na uzumbe kazini. ................... (tuendelee kwa mtindo huo wana jf, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)
Limenitoka jipu kwenye ------tumain la kushinda huu mchezo limenitoka
Tatu ndo magol aliyofungwa na chelsea