Nao ni kama kiswahili, kwa kiingerza ni now kama sijakosea
Sijakosea kuwa na shemeji yenu niliye naye sasa, ananifanya nijiFeel happy.
Sijakosea kuwa na shemeji yenu niliye naye sasa, ananifanya nijiFeel happy.
happy ni bint niliyempenda sana wakati nikiwa form six alivyoenda kwa likizo hakurudi tena,nahisi huyo ndio umeoa wewe.
Angu ndio nini??
Sema yangu
mada ndef sana hii cdhan kama itaishapombe ni afadhali kuliko bangi maana watumiaji wake wanatokaga nje ya mada
mada ndef sana hii cdhan kama itaisha
Nao wamejaribu kujitetea lakini haiwezekani