Wa mwisho ndiyo mshindi

katiba haina umuhimu kama posho, waulize wajumbe waliochaguliwa na mheshimiwa.
 
Mia ningekuwa nayo ningemtumia msg real people kawapoteza kwny huu mchezo,angalia msg yamwisho ya bantu lady kbla y real people
 
Real people hajui kitu,hivi anajua huu mjengo uliokarabatiwa kwa bilion 8,mwaka 2005 palikuwa kijiwe chetu cha gereji?kweli people wako real!
 
Nely niko real alwayz,hlf wajumbe wa rasimu ya katiba kwanini wasiongezewe posho hadi mil 10 kwa siku?laki 3 haitoshi jamani
 
Mjumbe kama mimi sifai,natetea posho??!hebu watukusanye kitaa,watulipe buku 50 tu kwa wiki,tukapige kazi
 
Uvivu bwana.. we suri sentensi zako zote mbili umevuruga utaratibu loh.. sa sijui ni uvivu au uzembe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…