Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Heaven on Earth hamna k2 ka hiyo labda ww ni fremasor ndio wanaimani hyo na wataish hapa kwa miaka isiyozid 80, na wakifa watakiona coz lazima waende jehanam na moto ule ni kwa dunian ni miaka 1000, jehanam ni mwaka 1!
 
Heaven on Earth hamna k2 ka hiyo labda ww ni fremasor ndio wanaimani hyo na wataish hapa kwa miaka isiyozid 80, na wakifa watakiona coz lazima waende jehanam na moto ule ni kwa dunian ni miaka 1000, jehanam ni mwaka 1!

Mwaka 1 = miaka 1000 !!! Nani kakwambia? Au una imagine tu? Kwani umeshawahi kwenda huko jehanum? Miaka 1000 kwani umewahi kuishi? Ukinijibu kwa usahihi wewe sio freemason.
 
Back
Top Bottom