thread hii haiishi leo hadi kesho itakuwepo daima
humu wote hamnifikii Mimi
mimi ni msela siwezi kwenda jela
Jela ni mbaya....
muheshimiwa kama???
kama noma na iwe noma.........
noma... acha iwe noma lakini sitakuacha mrembo.
Mrembo wa haja, ushindwe wewe
Wewe ndo mrembo wa haja? Hakyanani sikuachi
Mrembo wa haja, ushindwe wewe
Wewe... wewe mimi siwezi kushindwa la wewe ndo ushindwe.
Ushindwe wewe The Intelligent kwasababu hufuati masharti ya mchezo
Mchezo.... huu mchezo hauna masharti.
masharti na vigezo kuzingatiwa
masharti na vigezo kuzingatiwa