Wewe i thrd yakitambo sanA watu tumei subscrb kitambo tunaenda nayo ki platnum mdogomdogo.
Netanyahu namfananisha na Zitto
Zitto huyu huyu aliyekisaliti chama pamoja na Watanzania!!!
kazi ni msingi wa maisha, lakini unaweza kuishi bila kufanya kaziwatanzania wengi hawapendi kufanya kazi
kazi ni msingi wa maisha, lakini unaweza kuishi bila kufanya kazi
kazi za kibongo ngumu kupatikana.
Nani anakaribia kutundika Darunga maana siku hizi hana mpira kabisa