kuendelea kuvumilia kuteseka ni sawa na kuimba uku unatafuna karanga
Kiume na kike ni jinsia mbili tofauti
tofauti ipi ya jana ama ya leo.?
Leo hii nimesikia Mh Rais wa Tanzania amekwea pipa kaenda U.S.A
mzuri ni demu wangu
wangu wangu ni ubinafsi hebu usiwe kama mkojo
Mkojo ndio nini
tangu naingia jf sijapata heshima yangu
ujao-na kuwa hii ndiyo the most surviving thread in JF ?