Mwakani lazima tushinde ccm
Ccm hawana jipya , wao kazi kuiba tu
Tuu hakuna neno kama hilo, ni tu.tu nikimaliza kuandika hii sentensi ntakuwa mshindi, kwan najiona mimi tuu..
Kali Ongala ni mtoto wa Remmy Ongala
Dr. Remmy alisha fariki siku nyingi
Mnaokurupuka tu mnatuaribia gemu, someni mwanzo wa uzi mpate muongozo.... Haya tuendelee kuanzia hapa