Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Story ilishafika mwisho kitambo jamaa alikufa ,Najitangazia Ushindi baada ya serikali kulalia matokeo.
 
tume ya warioba ilisha maliza muda wake.......!##&!

!##&! na alama nyingine za namna hiyo zikichanganywa na herufi zinazojulikana, zikitokea kwenye maelezo ya katuni yoyote ile...ujue kuna anayetukanwa. Haya namaliza mchezo :hatari::mimba::smow::boxing:
 
unaendelea mpka hapo was mwisho atakapopatikana

ATAKAPOPATIKANA Rais muadilifu mwenye kujua shida za maskini wa nchi hii na kuliweka baraza lake la mawaziri lenye kujua Uongozi Bora na Siasa safi ndipo Tanganyika itapata Uhuru wa kweli
 
kweli kabisa ila kama wew ndo ungekua raisi ungefanya hivyo?

Hivyo ndo inavyotakiwa iwe ila muundo wa maisha kwa jumla katika nchi yetu haiwezekani, maana asilimia kubwa ya hao wanaotaka kuiongoza nchi kiuchumi binafsi wako ovyo
 
Ovyo haliwezi kuwa neno la mwisho kama unataka kuwa mshindi anza na neno hili `` ~~ '' -- ^^ ``
 
Back
Top Bottom