L lukeblair Senior Member Joined Jan 21, 2015 Posts 137 Reaction score 46 Jan 27, 2015 #4,421 Nyingi ni zile pesa za tegeta escrow
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jan 27, 2015 #4,422 Escrow haina lolote ni mpango wa kuchafua nyota za watu siunajua uchaguzi unakaribia??
Seto JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 953 Reaction score 56 Jan 27, 2015 #4,423 unakaribia ule muda wa wale mafundi wa kufunga watu kamba, tujiandae kupewa ahadi hewa zingine za miaka mingine mitano
unakaribia ule muda wa wale mafundi wa kufunga watu kamba, tujiandae kupewa ahadi hewa zingine za miaka mingine mitano
HOPECOMFORT JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 3,921 Reaction score 6,646 Jan 27, 2015 #4,424 Seto said: unakaribia ule muda wa wale mafundi wa kufunga watu kamba, tujiandae kupewa ahadi hewa zingine za miaka mingine mitano Click to expand... Mitano ni mingi sana, tunapaswa kua makini kwenye uchaguzi.
Seto said: unakaribia ule muda wa wale mafundi wa kufunga watu kamba, tujiandae kupewa ahadi hewa zingine za miaka mingine mitano Click to expand... Mitano ni mingi sana, tunapaswa kua makini kwenye uchaguzi.
L lukeblair Senior Member Joined Jan 21, 2015 Posts 137 Reaction score 46 Jan 27, 2015 #4,425 Uchaguzi unakaribia tujiepushe na league wanazoanzisha wanasiasa wa vyama vyote
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 Jan 27, 2015 #4,426 jitu kupe said: Haiwahusu ndo maana wamekaa kimya Click to expand... Hatuwezi kuendelea wakati umeharibu uzi wetu
jitu kupe said: Haiwahusu ndo maana wamekaa kimya Click to expand... Hatuwezi kuendelea wakati umeharibu uzi wetu
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 Jan 27, 2015 #4,427 Vyote ombea lakini sio kuchacha.
vallentino86 JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 532 Reaction score 213 Jan 27, 2015 #4,428 lukeblair said: Naipenda nikiacha ntachapiwa sana Click to expand... ilo nalo nenoo
HOPECOMFORT JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 3,921 Reaction score 6,646 Jan 28, 2015 #4,429 grafani11 said: Vyote ombea lakini sio kuchacha. Click to expand... Kuchacha alichacha Muhongo mpaka kiporo chake kikamwagika.
grafani11 said: Vyote ombea lakini sio kuchacha. Click to expand... Kuchacha alichacha Muhongo mpaka kiporo chake kikamwagika.
jitu kupe Senior Member Joined Jan 24, 2015 Posts 187 Reaction score 68 Jan 28, 2015 #4,430 Kikamwagika kabla hakijaendelea kuharibika na kutoa harufu mbaya
L lukeblair Senior Member Joined Jan 21, 2015 Posts 137 Reaction score 46 Jan 28, 2015 #4,431 Mbaya zaidi ni kwamba muhongo alikuwa mchapakazi
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jan 28, 2015 #4,432 Mchapakazi siku zote hujituma
jitu kupe Senior Member Joined Jan 24, 2015 Posts 187 Reaction score 68 Jan 28, 2015 #4,433 Hujituma kwa sababu ya maslai binafsi
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 Jan 28, 2015 #4,434 Binafsi nampenda mtu mkweli kama Profesa Tibaijuka.
jitu kupe Senior Member Joined Jan 24, 2015 Posts 187 Reaction score 68 Jan 28, 2015 #4,435 Tibaijuka si mkweli ndo maana aliwajibishwa na mzee wa tezi
codyz Member Joined Jan 7, 2015 Posts 82 Reaction score 24 Jan 28, 2015 #4,436 tezi dume au tezi ya shingo
HOPECOMFORT JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 3,921 Reaction score 6,646 Jan 28, 2015 #4,437 Shingo ya uzazi yule mzee wa kuningingia angani.
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 Jan 28, 2015 #4,438 Angani ndiko mzee wa tezi anashinda kila siku.
HOPECOMFORT JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 3,921 Reaction score 6,646 Jan 28, 2015 #4,439 Siku ya jana nilisikitishwa sana na vitendo walivyo fanyiwa waandamaji wa Cuf na polisi.
jitu kupe Senior Member Joined Jan 24, 2015 Posts 187 Reaction score 68 Jan 28, 2015 #4,440 Polisi wenyewe legelege Wanawaonea wazee,watoto na wakina mama wakikutana na vidume wananywang'anywa bunduki na vipigo juu
Polisi wenyewe legelege Wanawaonea wazee,watoto na wakina mama wakikutana na vidume wananywang'anywa bunduki na vipigo juu