Baharini!!! Una raha wewe, mi mwenzio naelekea mtoni
Utaratibu wenyewe haueleweki.
Utaratibu wenyewe haueleweki.
haueleki vipi wakati wenye akili timamu 2naufuata kama iv?
Kama ivi tunagongana muda wa kupost
Utaratibu uzingatiwe kwa kila post
Mafisadi wamechakachua mpaka bando