Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Aisee me mwenyewe sitokosa maana nina jambo langu tarehe 28 ya mwezi huuKujutia kuliko kukubwa aisee
Huu ni mwaka wa mabadiliko
Mabadiliko ya kijinsiaHuu ni mwaka wa mabadiliko
Kijinsia namna gani?Mabadiliko ya kijinsia
Gani ni bunduki ya manyoyaKijinsia namna gani?
Gani ni bunduki ya manyoya
Manyoya yalimponza kicheche...Gani ni bunduki ya manyoya
Unashangaza wewe, humjui kicheche?kicheche? mbona unashangaza
Kicheche alikula kuku zanguUnashangaza wewe, humjui kicheche?
Zangu zilikuwa kuku sita na vifaranga kadhaa..Kicheche alikula kuku zangu
Vifaranga kadhaa viliponaZangu zilikuwa kuku sita na vifaranga kadhaa..
Vilipona kwa mapenzi ya munguVifaranga kadhaa vilipona
Mungu ndie wa kushukuriwa kwa kila jamboVilipona kwa mapenzi ya mungu
Kila jambo lina wakati wakeMungu ndie wa kushukuriwa kwa kila jambo
Wake za watu ni sumuKila jambo lina wakati wake
Sumu inamwagwa kama Fitina...Wake za watu ni sumu
Kwaiy we ndo mshindi dah hongera ha ha haSumu inamwagwa kama Fitina...
Hahaha ahssante bingwa wangu ninaongozaKwaiy we ndo mshindi dah hongera ha ha ha
Yanapungua maumivu ya kichwa unapo meza vidonge...Hii ndo jf bhana ya kurefresh yani watu ni watii sana yani nimejaribu kufatilia watu wamefanya vile vile kama alivyosema mwandishi kwenye thread yake hakuna aliyeenda tofauti safi sana! Nakupa pongezi pia mwanzisha thread imewachallenge watu ata kama una mawazo yanapungua