Wa mwisho ndiyo mshindi

Jini ni kiumbe kama wengine viumbe
Viumbe hatari zaidi katika ustawi wa nchi yetu siyo bacillus bacteria, wala plasmodium, wala HIV wala corona -- ila ni wale watu wanaotuhadaa kuwa ni viongozi wetu na kwamba wapo kwa ajili ya maslahi mapana ya umma, ilhali hata wangepewa miaka elfu ofisini hakuna lolote bora la mafanikio watendalo zaidi tu ya kuendekeza uzembe, rushwa, ufisadi, kujinufaisha, migawanyiko, ugomvi, migogoro na ulevi kwa namna zake mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…