Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Tukikatika tutamwaga visivyo mwagika..Katika katika n katika tu
Mwagika kama majiTukikatika tutamwaga visivyo mwagika..
Maji ya mtungini yametulia kama ABJMwagika kama maji
ABJ nimekuelewa.Maji ya mtungini yametulia kama ABJ
Nimekuelewa, sasa endeleaABJ nimekuelewa.
Endelea Kula tunda kimasiharaNimekuelewa, sasa endelea
Kimasihara sio ishu [emoji38][emoji38][emoji38]Endelea Kula tunda kimasihara
Ishu yangu na tajiri yetu kakubali kunilipa kititaKimasihara sio ishu [emoji38][emoji38][emoji38]
Kitita kinono?Ishu yangu na tajiri yetu kakubali kunilipa kitita
Kinono cha maisha kitaliwa na mwenye AFYAKitita kinono?
Afya ya akili na mwili kwa raia ni vigezo muhimu ili kujenga taifa lenye ushindani kibiashara, katika uvumbuzi, sayansi na utafitiKinono cha maisha kitaliwa na mwenye AFYA
Utafiti na mtazamo wa mustakabali una onesha nchini kuna fursa za uwekezajiAfya ya akili na mwili kwa raia ni vigezo muhimu ili kujenga taifa lenye ushindani kibiashara, katika uvumbuzi, sayansi na utafiti
Uwekezaji mzuri ni ule wenye kulenga kupata maslahi upande mmoja, wakati huohuo ukiwajengea upande wa pili uwezo ili nao wajikwamue kiuchumi. Hii ni tofauti kabisa na mfumo-wivi wa kibepari na kibeberu na ukoloni mamboleo ambapo vyanzo vyote vya uchumi havina budi kuwa mikononi mwa mabwanyenye huku raia, ambao kwa sehemu kubwa ndio watumikishwa na wajenzi wa mapato hayo, wanafukarishwa na kufanywa ombaombaUtafiti na mtazamo wa mustakabali una onesha nchini kuna fursa za uwekezaji
OmbaOmba ndiyo kauli yangu comment ziwe fupiUwekezaji mzuri ni ule wenye kulenga kupata maslahi upande mmoja, wakati huohuo ukiwajengea upande wa pili uwezo ili nao wajikwamue kiuchumi. Hii ni tofauti kabisa na mfumo-wivi wa kibepari na kibeberu na ukoloni mamboleo ambapo vyanzo vyote vya uchumi havina budi kuwa mikononi mwa mabwanyenye huku raia, ambao kwa sehemu kubwa ndio watumikishwa na wajenzi wa mapato hayo, wanafukarishwa na kufanywa ombaomba
Fupi au ndefu kulalamika-lalama-lalama zetu hizi ni kuficha aibu na fedheha !!OmbaOmba ndiyo kauli yangu comment ziwe fupi
Na fedheha ndiyo umeamua kunipaFupi au ndefu kulalamika-lalama-lalama zetu hizi ni kuficha aibu na fedheha !!
Kunipa msaada ni kunilemaza bora unifundishe kuvua Samaki ili kesho nisi ombeombe Jasmoni Tegga !!Na fedheha ndiyo umeamua kunipa
Jasmoni Tegga ndiyo nani??Kunipa msaada ni kunilemaza bora unifundishe kuvua Samaki ili kesho nisi ombeombe Jasmoni Tegga !!
Nani asiyemfahamu ?Jasmoni Tegga ndiyo nani??
Asiyemfahamu si mimi hapa ndo maana nimeuliza..!Nani asiyemfahamu ?