T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Tena siwezi kurudia matapishiJembe yupo sana tu licha ya nia mbaya ya maadui. Baada ya kiki za Nairobi, India na Mzena kugoma, sasa wanadai eti time will tell. Hawa jamaa ni wazi wamechanganyikiwa kumkichwa hawana utimamu tena
Matapishi aisee,nitashindwa kula leoTena siwezi kurudia matapishi
Leo nimekuwaza mchana kutwa!
huyo GSM anawapeleka wapi? Watani wangu Yanga
Yangapi sasa maneno haya ya uzushi kila siku, halafu watu bado hawaelewi somo!??? Halafu Mr Mzungu alivyowamezesha mabeberu pumba na uongo sasa wameuvumisha almost kila gazeti na chombo cha habari. Sasa hajui aanzie wapi kurekebisha makosa. Hii ni hatari kabisahuyo GSM anawapeleka wapi? Watani wangu Yanga
kabisa yaan naona. Unaanza kuleta muda, ngumu, hapaYangapi sasa maneno haya ya uzushi kila siku, halafu watu bado hawaelewi somo!??? Halafu Mr Mzungu alivyowamezesha mabeberu pumba na uongo sasa wameuvumisha almost kila gazeti na chombo cha habari. Sasa hajui aanzie wapi kurekebisha makosa. Hii ni hatari kabisa
Hapa analeta siasa za ajabu ajabu tukabisa yaan naona. Unaanza kuleta muda, ngumu, hapa
Tunawasiwasi sana na mfumo wa uchakataji taarifa wa Mr Mzungu. Kinachoshangaza ajabu ni kwamba tangu apewe ile tuzo ya almost kufanikisha mkakati wa mabeberu kwenye uchaguzi mkuu, sasa kila mtu anamnukuu as if yeye ni reliable source wakati ni mpotoshaji mkubwa, mzushi na mleta-taharuki. Anajua hana la kupoteza; hana jema kwa nchi yetu
Yetu macho na masikioTunawasiwasi sana na mfumo wa uchakataji taarifa wa Mr Mzungu. Kinachoshangaza ajabu ni kwamba tangu apewe ile tuzo ya almost kufanikisha mkakati wa mabeberu kwenye uchaguzi mkuu, sasa kila mtu anamnukuu as if yeye ni reliable source wakati ni mpotoshaji mkubwa, mzushi na mleta-taharuki. Anajua hana la kupoteza; hana jema kwa nchi yetu
Masikio ya watu wengi yapo online yakitegemea kusikia jiwe hayupo. Kumbe jiwe yupo mzima wa afya anawachora tu
Off,ukiweka "er" ni offer,tumpe tundu labda atajirekebisha,amepona amesahau tulimuombea tena kwa kukesha.Tu! Waingereza wanaweza fikiria unamaanisha Two
Nalog off
Kukesha leo hapana,ngoja nilale ili kesho nikae mkao wa kusikiliza yatakayojiri nchiniOff,ukiweka "er" ni offer,tumpe tundu labda atajirekebisha,amepona amesahau tulimuombea tena kwa kukesha.
Nchini watu wamebaki na maulizo mengi,tufanye kazi jamaniKukesha leo hapana,ngoja nilale ili kesho nikae mkao wa kusikiliza yatakayojiri nchini
Nalog off
Kazi ni kazi matokeo yake ni faida..
Faida ya kuonea raia ni kuchukiwa na hao raia.Kazi ni kazi matokeo yake ni faida..