Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Usiku mwema nawe piaMgao wangu kesho.. kwaherini Usiku mwema.
Usiku mwema nawe pia
Yaleee yameshapotea machoni panguPia nimeamini uzushi, uongo, fitina vina mwisho wake -- yaani Mr Mzungu Mbelgium angali bado analazimisha nadharia za Nairobi & India ziwe kweli wakati PM & VP wameshasema Bulldozer anachapa kazi Ikulu!!!Ama kweli ^Kipenda roho hula nyama mbichi^ Sijawahi kujua hivi watu hawa hawana haya!??? Au ndiyo wameishiwa haya na sasa wana yaleee!???
Pangu pakavu tia mchuzi una maana gani huu msemoYaleee yameshapotea machoni pangu
Msemo usemao mke wa mtu ni sumu huwa una maana gani?Pangu pakavu tia mchuzi una maana gani huu msemo
Gani tena na wakati ulichukuwa zote..Msemo usemao mke wa mtu ni sumu huwa una maana gani?
Zote mbichi hakuna hata moja iliyoiva
Iliyoiva inabidi iliwe jamaniZote mbichi hakuna hata moja iliyoiva
Jamani mbona jiwe haonekani?Iliyoiva inabidi iliwe jamani
Haonekani kwako tu ila kwetu anaonekana usiku na mchanaJamani mbona jiwe haonekani?
Mchana ni wakati wa kufanya kazi, sio kupiga sogaHaonekani kwako tu ila kwetu anaonekana usiku na mchana
Soga wapi wewe bhana wakati mchana ni muda wa kufanya mapenziMchana ni wakati wa kufanya kazi, sio kupiga soga
Mapenzi ni sumu sitaki hata kuyasikiaSoga wapi wewe bhana wakati mchana ni muda wa kufanya mapenzi
Kuyasikia utayasikia tu labda uzibe masikioMapenzi ni sumu sitaki hata kuyasikia
Masikio yangu yamesikia, za chinichini kwamba mkulu yuko fit sanaKuyasikia utayasikia tu labda uzibe masikio
Sana japo baadhi ya watanzania hawajafurahia kusikia hiyo habariMasikio yangu yamesikia, za chinichini kwamba mkulu yuko fit sana
Hiyo habari ni mbaya sana kwa mabeberu, na vibaraka waoSana japo baadhi ya watanzania hawajafurahia kusikia hiyo habari
Wao hawataki mimi nioe kwao eti kisa sina hela wakati binti yao tunapendana sanaHiyo habari ni mbaya sana kwa mabeberu, na vibaraka wao
Sana sana ukioa utaishia kupata stress tu, heri ubaki single.Wao hawataki mimi nioe kwao eti kisa sina hela wakati binti yao tunapendana sana