Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Kitu kama ganiTu hapana ngoja hebu nawe kaitazame, itakufundisha kituView attachment 1750980
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu kama ganiTu hapana ngoja hebu nawe kaitazame, itakufundisha kituView attachment 1750980
Sent using Jamii Forums mobile app
Gani yani ulitaka kusema ujumbe uliomo ndani ya movie hiyo, kwa ufupi ni movie iliyojaa hisia kali, unakua na mpenzi mnapendana sana pasipo kujua mmoja anaumwa na ansubiri kufa, yule msichana alikua ana cancer iliyokua ikimtafuna taratibu, anakuja kufa na kumuacha mwenzake akitaabika na kutoamini amempoteza.Kitu kama gani
Amempoteza yaani ameaga, loh uchungu kweli. Umenikumbusha kama hiyo tu, yaitwa "The fault in our stars", ile movie waeza toa choziGani yani ulitaka kusema ujumbe uliomo ndani ya movie hiyo, kwa ufupi ni movie iliyojaa hisia kali, unakua na mpenzi mnapendana sana pasipo kujua mmoja anaumwa na ansubiri kufa, yule msichana alikua ana cancer iliyokua ikimtafuna taratibu, anakuja kufa na kumuacha mwenzake akitaabika na kutoamini amempoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chozi kama lote, ngoja nitaitafutaAmempoteza yaani ameaga, loh uchungu kweli. Umenikumbusha kama hiyo tu, yaitwa "The fault in our stars", ile movie waeza toa chozi
Nitaitafuta hata mimi hiyo uliyoitaja hapo juu
Mkuu Naomba huu Uzi uishie hapa tafadhaliKwanza habari ya asubuhi mkuu??
Juu yako ww kuitafuta au kuachaNitaitafuta hata mimi hiyo uliyoitaja hapo juu
Kuacha nyeto ni vigumu
Kuitambua siri ya washenga ni umbeya !!Nzuri ni ngumu kuitambua
Umbeya kwa mwanaume Ni swala la kukemewaKuitambua siri ya washenga ni umbeya !!
Kukemewa na mwanamke Mmmh bora uhame mji...Umbeya kwa mwanaume Ni swala la kukemewa
Mji atakaokimbilia ahakikishe anakaa chonjo na wanawakeKukemewa na mwanamke Mmmh bora uhame mji...
Wanawake eti wanatudai deni lisilolipika hadi kiyama...Mji atakaokimbilia ahakikishe anakaa chonjo na wanawake
Kiyama ni ahadi tusijisahau.Wanawake eti wanatudai deni lisilolipika hadi kiyama...
Tusijisahau kuwa hspa duniani Sisi tutapita tu hatutachukuwa kitu tukiondokaKiyama ni ahadi tusijisahau.
Tukiondoka tutabeba mizigo yetu sio ya watuTusijisahau kuwa hspa duniani Sisi tutapita tu hatutachukuwa kitu tukiondoka
Watu wote watabeba Mizigo yao wenyeweTukiondoka tutabeba mizigo yetu sio ya watu