Wa mwisho ndiyo mshindi

Kipato unasema ni kidogo hebu acha kuendesha uone yule mwanamke uliemuweka ndani kama utakuwa nae alisikika boda boda mmoja akimuonya mwenzie
Mwenzie alieonywa ni mtu wa kulalamika na kutokuridhika na kipato chake ndio maana akapewa onyo, kama ni msikivu na mwelewa afanyie kazi onyo hilo
 
Mwenzie alieonywa ni mtu wa kulalamika na kutokuridhika na kipato chake ndio maana akapewa onyo, kama ni msikivu na mwelewa afanyie kazi onyo hilo

Hilo lilitokea pale wengine walipoanza kumbishia na kusema kuwa mwanamke hata usipo kuwa na pesa anakupenda maana hwana pa kuishi alisikia kijana aneuza maji pembeni
 
Butwa lili mkuta mzee mmoja kituoni baada ya kugundua kuwa suluari aliovaa sio ile yenye pesa na hajajua jana yake alilala kwa mke yupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…