HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Mwenzie alieonywa ni mtu wa kulalamika na kutokuridhika na kipato chake ndio maana akapewa onyo, kama ni msikivu na mwelewa afanyie kazi onyo hiloKipato unasema ni kidogo hebu acha kuendesha uone yule mwanamke uliemuweka ndani kama utakuwa nae alisikika boda boda mmoja akimuonya mwenzie