Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Saa a haina idadiWatakuharibia wavivu katika kuwinda kisu kikali kwa uharaka wa kula nyama ni.pesa chapaa mkwanja majina mengi saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa a haina idadiWatakuharibia wavivu katika kuwinda kisu kikali kwa uharaka wa kula nyama ni.pesa chapaa mkwanja majina mengi saana
Idadi ya watu.duniani.ni kubwa na wengi.wanawakeSaa a haina idadi
Idadi ya watu.duniani.ni kubwa na wengi.wanawake
Hata kwetu wakiristo mitume wazamani mbona walioa zaidi ya mmojaWanawake ni wengi ndio maana kwa imani ya kiislamu tumeambiwa tuoe wanne
Idadi ya watu.duniani.ni kubwa na wengi.wanawake
Wachumba wakiwapata na kuzakishwa wanaanza mambo ya child support wale wanawake weusi.wa US hawafaiWanawake weusi kule Marekani baadhi waliwahi kupendekeza kwamba wanaume weusi wenye uwezo wa kuoa waruhusiwe kuoa wanawake wengi kwa sababu wanaume weusi wengi ama ni magay au wako jela hivyo ni shida kupata wachumba.
Wachumba wakiwapata na kuzakishwa wanaanza mambo ya child support wale wanawake weusi.wa US hawafai
Hawafai kweli wengi wao wanadhani maisha ni kujirusha tu saa zote halafu wana midomo sana Mkuu, lakini baadhi wameanza kuamka katika kusaka pesa na pia kupunguza midomo yao blah blah blah blah!
Blah blah nyingi ndio ujanja wa matapeli
Matapeli ni watu noma.
Sana wanajua kutengeneza tukio na kupigwa mtu harakaNoma sana
Haraka wanatokomea kusikojulikana.Sana wanajua kutengeneza tukio na kupigwa mtu haraka
Kusikojulikana hivi pakoje huko
Huko kunafanana na kuzimu, ukirudi salama Mshukuru Mungu wakoKusikojulikana hivi pakoje huko
Zamani nilikua kijanaWako wapi wale wote wakiotesa wenzao zamani.?
Kijana wa kale usjazeeka tupishe damu changa tukusaidie memgineZamani nilikua kijana
Mengine hatuyawezi.Kijana wa kale usjazeeka tupishe damu changa tukusaidie memgine
Hatuyawezi Kwa kuwa yametuzidi uwezoMengine hatuyawezi.
Uwezo wetu ndio unatupangia tufanyeje!Hatuyawezi Kwa kuwa yametuzidi uwezo
Nalog off