Kitabu cha 'Pep Confidential' - "The Inside Story of Pep Guardiola's First Season at Bayern Munich" ndicho kitabu bora zaidi mimi kuwahi kusoma.Maarifa ya Jamii, je wakifahamu hiki Kitabu?
Mkisome kwa kumakinika....Kitabu cha 'Pep Confidential' - "The Inside Story of Pep Guardiola's First Season at Bayern Munich" ndicho kitabu bora zaidi mimi kuwahi kusoma.
Ningependa mama mtumishi Saint Anne na wakuu wote hapa mkisome
Kumakinika ni muhimuMkisome kwa kumakinika....
Muhimu n kufanya jambo kwa wakat sahihiKumakinika ni muhimu
Sahihi kabisa kama ulivyosemaMuhimu n kufanya jambo kwa wakat sahihi
Ulivyosema kwa usahihi nimekupenda bureSahihi kabisa kama ulivyosema
Bure ina gharama kubwaUlivyosema kwa usahihi nimekupenda bure
Kubwa kuliko yote ni kumpenda baba mtumishi Pep katika hali zote.Bure ina gharama kubwa
Zote ahadi mlizoepana mkazitimize na mzidi kupendana
JF ina watu wengie, wengine ni couples na wengine ni maadaui wa kudumuKupendana kwao kuna nguvu sana sijawahi ona humu jf
Kudumu kwao kwenye uadui ni nini hua sababu??JF ina watu wengie, wengine ni couples na wengine ni maadaui wa kudumu
Sababu hata siijuiKudumu kwao kwenye uadui ni nini hua sababu??
Hawajuani kwa sababu majina sio halisiKudumu kwenye mahusiano kunatokeaje wakati watu hawajuani?
Majina siyo halisi ila la baba mtumishi Pep ni la ukweliHawajuani kwa sababu majina sio halisi
Wenyewe twaujua na Mungu wa Mbinguni ni shahidi.Ukweli mnaujua wenyewe
Shahidi wa jamhuri alisahau eneo la tukioWenyewe twaujua na Mungu wa Mbinguni ni shahidi.
Eneo la tukio la mahubiri ya Mwal Christopher Mwakaseghe ni Tanganyika packers kuanzia saa 9 Jioni.Shahidi wa jamhuri alisahau eneo la tukio
Shahidi wa jamhuri alisahau eneo la tukio