Kazi bila connection siku hizi kupatikana ni shidaMaelezo ya kipimbi yameshakua mengi sana tusubiri miongozo kwa wakuu wa kazi
Shida ni ushirikiano hasa unapoanza safari ya kuishi ndoto zako, mara zote changamoto huimarisha na kuleta matokeo chanya mtu asipokata tamaa...Kazi bila connection siku hizi kupatikana ni shida
Tamaa mbele mauti nyumaShida ni ushirikiano hasa unapoanza safari ya kuishi ndoto zako, mara zote changamoto huimarisha na kuleta matokeo chanya mtu asipokata tamaa...
Nyuma kidogo kuna mti wa muembeTamaa mbele mauti nyuma
Nyuma kidogo kuna mti wa muembe
Fasaha sijui ila yote yanaelewekaMuembe au mwembe? Kipi ni kiswahili fasaha?
Yanaeleweka kirahisi hayo mamboFasaha sijui ila yote yanaeleweka
Yanaeleweka yale maswali ya kwenye mtihaniFasaha sijui ila yote yanaeleweka
Mambo poa tu vipi mzima wewe LenieYanaeleweka kirahisi hayo mambo
Wimbo huo sijawahi kuusikia mbona.
Namna yoyote ile ya kuacha pombe ni ipi?Wimbo huo sijawahi kuusikia mbona.
Mkuu pole sana kwa ajali, pikipiki hizi sio salama sana sema ndio usafiri wetu hatuna namna
Mpendwa pombe inatakiwa kunywa kwa kiasiNamna yoyote ile ya kuacha pombe ni ipi?
Akhsante sana mpendwa
Kiasi cha Tsh 400,000/=kinahitajika kuokoa maisha ya mama na mtotoMpendwa pombe inatakiwa kunywa kwa kiasi
Mtoto mzuri ni yule anayetii wazaziKiasi cha Tsh 400,000/=kinahitajika kuokoa maisha ya mama na mtoto
Wazazi wetu tuwapendeMtoto mzuri ni yule anayetii wazazi
Bustani ya eden ni ya kufikirika na kila kilichotokea si halisiBustani ya Eden ndio tunda likaliwa kimasihara baada ya nyoka kuonyesha nguvu ya ushawishi
Tuwapende na kuwathamini tutapata barakaWazazi wetu tuwapende
Baraka za Mungu huja kwa wakati sahihiTuwapende na kuwathamini tutapata baraka