Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Atavyokisherehesha hicho kibamia cha jamaa ndivyo kitazidi kuwa tango porikibamia sio kilema inategemea na na jinsi Saint Anne atavyokisherehesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atavyokisherehesha hicho kibamia cha jamaa ndivyo kitazidi kuwa tango porikibamia sio kilema inategemea na na jinsi Saint Anne atavyokisherehesha
pori aliloingia kuchimba dawa lilikuwa na siafu wengi sana ambao hawakuchelewa kumgeuza kitafunio.Atavyokisherehesha hicho kibamia cha jamaa ndivyo kitazidi kuwa tango pori
Kitafunio cha mtu ni.meno.yakepori aliloingia kuchimba dawa lilikuwa na siafu wengi sana ambao hawakuchelewa kumgeuza kitafunio.
yake ndogo ya mwenzie kuuuubwa, namaanisha simuKitafunio cha mtu ni.meno.yake
Simu kweli...? Mmmhh sio mtwangioyake ndogo ya mwenzie kuuuubwa, namaanisha simu
mtwangio wa wanaume wa dar hauna maajabuSimu kweli...? Mmmhh sio mtwangio
Maajabu ya uzi huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnajadili vitu vya kusadikika kuhusu mimi na baba mtumishi Pepmtwangio wa wanaume wa dar hauna maajabu
Kumpiga kibuti mtumishi Pep ni jambo gumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.pep anakuzimia sana tafadhali usije kumpiga kibuti
yeye pia alinipm akaniambia kafa kaoza kwako,yaani kama yeye angekuwa gari basi wewe ni matairi,hajiwezi bila ya wewe kutembea hawezi, zaidi amenieleza umrembo lakini hujikwezi kama ni mbingu wewe ni mbaramweziKumpiga kibuti mtumishi Pep ni jambo gumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Tunazimiana mimi na yeye.
Mbaramwezi au Mbalamwezi?yeye pia alinipm akaniambia kafa kaoza kwako,yaani kama yeye angekuwa gari basi wewe ni matairi,hajiwezi bila ya wewe kutembea hawezi, zaidi amenieleza umrembo lakini hujikwezi kama ni mbingu wewe ni mbaramwezi
Mbaramwezi au mabalamwezi sis a2jui 2na taka mrejeshoMbaramwezi au Mbalamwezi?
mrejesho ni mbalamwezi sio mbaramwezi,samahan kama ulimi ningesema hauna mfupaMbaramwezi au mabalamwezi sis a2jui 2na taka mrejesho
Mfupa ulimshinda fisimrejesho ni mbalamwezi sio mbaramwezi,samahan kama ulimi ningesema hauna mfupa
Fisi ashindwe mfupa ? Labda awe kibogoyo.Mfupa ulimshinda fisi
OFF-TOPICMaajabu ya uzi huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnajadili vitu vya kusadikika kuhusu mimi na baba mtumishi Pep
Mbinguni wataenda wakiwa wamechoka😁.
Jukwaani ni pazuri sana kupanda hasa jukwaa la wakubwaKarucee ni dada anayejua kujenga hoja nzito hapa jukwaani.