Mtiririko wa Uzi huu siupendi kabisa. Ni wa muda mrefu. Mimi ndio mkombozi wa hili janga. Naufunga sasa kwa kusema kwa kimyaaaajjdhhdhjrkksjhdhjdjdddbrr ni kitu gani?
Usiharibu mtiririko[emoji846]
Tuvumiliane kitu gani?[emoji23]
Mbona hujawahi kuniambia before?
Ningeiweka kila siku.
Samahani wana uzi,naharibu mtiririko kidogo,tuvumiliane.
Upendo huvumilia na yawezekana umenivumilia katika nisiyoyajua mengi 😝Tuvumiliane kitu gani?
Hapana hatukuvumilii, umeharibu mtiririko 😂😂
_____________________________
Sikukuambia kwasababu upendo huvumilia 😉
Mengi tutayaongea zaidi siku za usoniUpendo huvumilia na yawezekana umenivumilia katika nisiyoyajua mengi 😝
Mengi mnayajua sasa fanyeni kweliUpendo huvumilia na yawezekana umenivumilia katika nisiyoyajua mengi 😝
Kweli ni mengi nazingua ila baba mtumishi ananichora tu[emoji846]Mengi mnayajua sasa fanyeni kweli
Tunasubiri mwalikoKweli ni mengi nazingua ila baba mtumishi ananichora tu[emoji846]
Mwaliko atawapa PepTunasubiri mwaliko
Haujaisha ila zimebaki siku chachePep aje hapa aanze kugawa mialiko kabla mwaka haujaisha
Siku chache ila zinakimbiaHaujaisha ila zimebaki siku chache
Zinakimbia mnoo, hadi nawaza sijui itakuajeSiku chache ila zinakimbia
Haujaisha ni kweli na mialiko itapatikana, nasema uongo mama mtumishi wangu?Pep aje hapa aanze kugawa mialiko kabla mwaka haujaisha
Wewe unataka kuanza mwaka vibayaHaujaisha ni kweli na mialiko itapatikana, nasema uongo mama mtumishi wangu?
Skylar usisahau Mbaga III aliweka wazi kwamba ataburudika sana kucheza na wewe
Sijui itakuaje kwa kweli ngoja tusubiri tuoneZinakimbia mnoo, hadi nawaza sijui itakuaje
Vibaya sana kutokulifanyia kazi ombi la ndugu yetuWewe unataka kuanza mwaka vibaya
Tuone kama haya maji yataanza kutoka au naendelea kuoga bahariniSijui itakuaje kwa kweli ngoja tusubiri tuone
Tuone kama na wewe utatupa mualiko wa mwaka mpya au utafunga viooSijui itakuaje kwa kweli ngoja tusubiri tuone
Yetu machoVibaya sana kutokulifanyia kazi ombi la ndugu yetu
Vioo vya gari yako ni vichafuTuone kama na wewe utatupa mualiko wa mwaka mpya au utafunga vioo