Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
arusha ni mojawapo ya mikoa ya tanzania inayopokea watalii wengi sana kila mwaka
baraka ?Mwaka huu ni wa baraka.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
baraka ?
2015 CHADEMA kitakuwa chama tawala cha Kilimanjaro na Arusha.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Arusha na Kilimanjaro ni mikoa ambayo CCM kitapata shida sana mwaka 2014 katika chaguzi za serikali za mitaa.
Mitaa ya hapa Dar Es Salaam CHADEMA haitaweza kushinda kwasababu wananchi wake ni werevu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Werevu wengi katika jiji la Dar es salaam wanaishi majimbo ya Kawe na Ubungo, ambayo wabunge wake ni wa CHADEMA.
Tanzania ni nchi ya wapenda amani.
Ulimbo nilitumia sana Kwetu wakati nasoma ubungo
ama? unauliza au unajibu wewe vipi
shingoni ni sehemu ya mwili inayotumika kujinyonga au kumnyonga mtu
Mtu kama hafati masharti ya mchezo huu akae pembeni kwa roho safi
ubungo stendi ama?