Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mkali mno ni ule unaotokea baharini.Upepo waleo ni mkali mnoo
Story zake baadhi anazifahamu mama....atanihadithia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wake wakwe walikuwa wakienda kumsalimia wanafurahi na roho zao.
I wish ungemuona,ungefurahi sana kwa stori zake.
Atanihadithia na matumizi ya chupa za soda?Story zake baadhi anazifahamu mama....atanihadithia
Soda?Atanihadithia na matumizi ya chupa za soda?
Baharini nimeshapachoka, siku ya 19 leo naoga humo....maji hakuna.Mkali mno ni ule unaotokea baharini.
"Roho mbaya tu ya kutotaka kunialika" - Moyo wangu ni mzito sana, haya maneno ya mpendwa wangu yamenitia ufa moyoni, yameupasua katikatiSoda?
Anyway, Kuna mtu nilijua tu atapotea na kurudi baada ya sikukuu kupita...
Hii yote ni roho mbaya tu ya kutotaka kunialika.
"Roho mbaya tu ya kutotaka kunialika" - Moyo wangu ni mzito sana, haya maneno ya mpendwa wangu yamenitia ufa moyoni, yameupasua katikati
Humu nilipotea kwasababu ambayo ilikua nje ya uwezo wangu.Yameupasua katikati ni vaadhi ya visingizio
Yaani nilijua tu,nilijua kabisa atapotea humuπ
Kwako nilijua tu sababu zitatafutwa.Humu nilipotea kwasababu ambayo ilikua nje ya uwezo wangu.
Lakini hiyo dharura haizuwii wala kupunguza upendo wangu kwako
Zitatafutwa njia zozote za kufanya unielewe kwasababu nakupendaKwako nilijua tu sababu zitatafutwa.
Nakupenda usiyenipenda na mwaliko nimenyimwa ila leo natafutiwa sababu za kupoozwa.Zitatafutwa njia zozote za kufanya unielewe kwasababu nakupenda
Kupoozwa ni namna flani ya kumfariji sdchkNakupenda usiyenipenda na mwaliko nimenyimwa ila leo natafutiwa sababu za kupoozwa.
Sdchk ya nini tena Mungu akikubariki mtoto aina ya Saint Anne?Kupoozwa ni namna flani ya kumfariji sdchk
Gorgeous legs gani yenye tege πππππSdchk ya nini tena Mungu akikubariki mtoto aina ya Saint Anne?
Kwanza ana hofu ya Mungu
Pili ni mzuri wa asili
Tatu ni charming...a very good buddy to be around
Nne ni wife material
Tano ni mama mzuri kwa future kids wetu
Sita ana 'good brain'
Hapo sijazungumzia cute face fulani iliyojaa haiba
Did I mention her gorgeous legs?
Pep mbona uneshusha hadith[emoji3][emoji16]Sdchk ya nini tena Mungu akikubariki mtoto aina ya Saint Anne?
Kwanza ana hofu ya Mungu
Pili ni mzuri wa asili
Tatu ni charming...a very good buddy to be around
Nne ni wife material
Tano ni mama mzuri kwa future kids wetu
Sita ana 'good brain'
Hapo sijazungumzia cute face fulani iliyojaa haiba
Did I mention her gorgeous legs?
Kirahisi haitawezekana, najua hilo....lakini angalau mrembo wangu ametabasamuGorgeous legs gani yenye tege πππππ
Bado kesi yetu ipo palepale,usidhani nitapotezea kirahisi.
Hadithi na mashairi ya kusadikika ameandika na anaijua mwenyewe sababu ya kufanya hivyoπππππPep mbona uneshusha hadith[emoji3][emoji16]
Ametabasamu ifiki jumatano ufanyekama ulivyo nambiaKirahisi haitawezekana, najua hilo....lakini angalau mrembo wangu ametabasamu
Ametabasamu ila bado kesi ipo palepale hajaifuta.Kirahisi haitawezekana, najua hilo....lakini angalau mrembo wangu ametabasamu
Hadithi yangu itoshe tu kuueleza uma 'hii pisi' imeukamata mtima wa mtumishi wa MunguPep mbona uneshusha hadith[emoji3][emoji16]