Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kumuabudu kunawapasa wanyoofu wa mioyo.Kufeli ni kusudi la Mungu ili tumlilie yeye na kumuabudu.
mioyo ya ng'ombe kwenye supu inabambaKumuabudu kunawapasa wanyoofu wa mioyo.
Inabamba mama mtumishi akinywa pombe.mioyo ya ng'ombe kwenye supu inabamba
Vileo vitanywewa kwa kwenda mbele.Sakho tena? hapa utakua unamzungumzia Pep wa Liverpool Pepijn Lijnders
Huu mwaka mpya watumishi wa Mungu hatugusi vileo
Baba mtumishi anasema 'unasema uongo ndugu yangu'
Yangu mawazo ni kunywa pombe mwaka huu bila kujali baba mtumishi anataka au hataki.Baba mtumishi anasema 'unasema uongo ndugu yangu'
Mpalange BuzaHataki wakati Mimi nataka ulewe ili nikunyandue kwa mpalange
Buza kwa kina Saint AnneMpalange Buza
Wasamehe wote waliokukosea kwani maisha yenyewe ndiyo haya hayaMmh! Saint Anne walimwengu ndivo walivyo wasamehe!
Kuna ujinga ambao anaanza kuleta..Mmhh
Wasamehe maana hawajui walitendalo!Kuna ujinga ambao anaanza kuleta..
Heshima ni kitu cha bure.
Kitu cha bure kabisa mtoto mzuri.Kuna ujinga ambao anaanza kuleta..
Heshima ni kitu cha bure.
Anyway ,wacha nikutupie "ignore list" nisione kabisa upupu wako.Wasamehe maana hawajui walitendalo!
Siyo wewe mkuu.Wat again...
Heil Noo, Mimi nmekosea nini tena kwako ewe Binti Mtaratibu