Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Mshindi ni wewe na pep. Huu uzi tumiwaachia rasmi.Hela ngapi utanipa nikiwa mshindi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshindi ni wewe na pep. Huu uzi tumiwaachia rasmi.Hela ngapi utanipa nikiwa mshindi ?
Rasmi tumeachwa tujimwaye mwaye mimi na baba mtumishi [emoji847]Mshindi ni wewe na pep. Huu uzi tumiwaachia rasmi.
Baba mtumishi anataka aongee na mwamba Melo atuuzie na JF yote kwa ujumla🤣🤣Rasmi tumeachwa tujimwaye mwaye mimi na baba mtumishi [emoji847]
[emoji1787]Baba mtumishi anataka aongee na mwamba Melo atuuzie na JF yote kwa ujumla[emoji1787][emoji1787]
Wangu wa moyoni hii JF tukiinunua nampiga ban Bia Yetu halafu tunaiuza tena kwa Max[emoji1787]
JF yote kwa ujumla tutaiweza kweli???
............
Leo nilikumiss mno baba mtumishi wangu.
Kila muda natamani nikuone babe wangu😘.Wangu wa moyoni hii JF tukiinunua nampiga ban Bia Yetu halafu tunaiuza tena kwa Max
Inafahamika wazi na wanajamvi mimi huwa naku miss tu kila muda.
Muda huu nimetoka kuskiza kidogo ile 'spichi'....nadhani hili suala mkuu angeweza kuli handle much betterKila muda natamani nikuone babe wangu😘.
Hebu mbariki kidogo mama mtumishi😉
........
Bia yetu haijulikani alipo na hajarudi jukwaani hadi muda huu.
Eti unanipa picha gani hiyo?Muda huu nimetoka kuskiza kidogo ile 'spichi'....nadhani hili suala mkuu angeweza kuli handle much better
Embu imagine namna mdogo ake Klopp, bwna Tuchel ame handle suala la Lukaku professionally.
Anyway, tuendelee kuupiga mkubwa 🤣🤣
_________
Picha hii hapa....nimepigwa na TECNO ikatoka nikiwa nimevaa kofia eti 😏
View attachment 2068501
funza km nzi wa kijaniKichwani kwako kumejaa funza
Kijani wapo katika light tlakfunza km nzi wa kijani
Ivunjike tu maana hakuna namna nyingine sasa
Ivunjike tu maana hakuna namna nyingine sasa
sasa wewe ukisema hakuna namna unamaanisha nini?Nini kwanisasa wewe ukisema hakuna namna unamaanisha nini?
Nini kwani
kwani ndugai yeye anasemaje?Anasemaje huyu jamaa?kwani ndugai yeye anasemaje?
Jamaa amepigwa na kitu kizito.Anasemaje huyu jamaa?
Mashambulizi yameshazimwa kilichobaki ni kupiga goti.Jamaa amepigwa na kitu kizito.
Tunasubiri ajibu mashambulizi.
Goti lipigwe baada ya mbinu zote kufeli.Mashambulizi yameshazimwa kilichobaki ni kupiga goti.
Kufeli ni kusudi la Mungu ili tumlilie yeye na kumuabudu.Goti lipigwe baada ya mbinu zote kufeli.