Love you more my my.....Kitu cha bure kabisa mtoto mzuri.
Ame apologize. Hopeful he was just trying to make some fun.
Ni mtu poa huyo mwana, hanaga mambo mobb na mtu.
Nakupenda mrembo wangu. Pole
OKAY mambo yasiwe mengi.Mmh,,, Sawa, by the way Nadhani ni vyema uka mchukulia poa Mkuu aliye leta maseke, Tusambaze UPENDO 2022... OKAY
HahahLove you more my my.....
Hahah!
😆Hahah
Hadi umeharibu flow.
Ntamwambia Mod akulambe ban ya wiki kwa kutokufuata mtiririko
My.....(hiyo mabano isiwe tu bia yetu)
Bia yetu nilikuwa fan wake sana,,alikuwa ananikosha.Hahah
Hadi umeharibu flow.
Ntamwambia Mod akulambe ban ya wiki kwa kutokufuata mtiririko
My.....(hiyo mabano isiwe tu bia yetu)
Kujaza fomu ya maombi ya Pasipoti kwa njia ya kielectronic kwa mara ya kwanzaBia yetu nilikuwa fan wake sana,,alikuwa ananikosha.
Hayo mabano utamalizia mwenyewe.
Najua unajua namna ya kujaza😉
Kwanza huniwezi kiserikaliKujaza fomu ya maombi ya Pasipoti kwa njia ya kielectronic kwa mara ya kwanza
Kiserikali kimaombi,kiubishi huniweziKwanza huniwezi kiserikali
Tanzania yangu inapigwa mnada.Kiserikali kimaombi,kiubishi huniwezi
Kama unabisha lete mkono tushindane😂😂😂😂
Tanzania yangu.
Amepoteleaga wapi?Bia yetu nilikuwa fan wake sana,,alikuwa ananikosha.
Hayo mabano utamalizia mwenyewe.
Najua unajua namna ya kujaza😉
Wote wawili inatosha baba???Tanzania yangu inapigwa mnada.
Upo na pesa kidogo hapo tuweke bid?
Tukiinunua tunatimua wote tunabaki wawili 😉
Baba mtumishi anasema umevaa gauni/skirt nzuri.Wote wawili inatosha baba???
Anyway,tumsikilize baba mtumishiView attachment 2070912View attachment 2070913
Mawe wapi[emoji23],ya watu hayo baba.Baba mtumishi anasema umevaa gauni/skirt nzuri.
Mtumishi mwenzetu Chris yupo Arusha....unfortunately sipo kule, ila namfuatilia kwa karibu livestreaming Youtube
_____________________________________
Pisi yangu ina mawe [emoji3526]
Cha kujaza kweli haukijui??Amepoteleaga wapi?
Ama aliona buku 7 hailipi aka resign...
_________
Wacha tuone, pengine najua cha kujaza
Haukijui kile ninachokijua mimiCha kujaza kweli haukijui??
Mimi naamini ukweli upo waziHaukijui kile ninachokijua mimi
Upo wazi tangu jumatatuMimi naamini ukweli upo wazi
Tangu jumatatu nchi umekuwa ya motoUpo wazi tangu jumatatu