HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Huu msosi haujawahi kukosa wapenzi hata siku moja, na uzuri wake kwa mapishi yoyote yale Wali Maharage utaupenda, iwe mapishi ya Mafuta au NaziMaharagwe na wali naupenda sana huu msosi
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu msosi haujawahi kukosa wapenzi hata siku moja, na uzuri wake kwa mapishi yoyote yale Wali Maharage utaupenda, iwe mapishi ya Mafuta au NaziMaharagwe na wali naupenda sana huu msosi
Nalog off
Maharagwe na wali naupenda sana huu msosiJamii ya Mikunde hujumuisha mazao kama Kunde, Choroko, Mbaazi, na Maharage
Nazi ni zao zuri tusilipotezeHuu msosi haujawahi kukosa wapenzi hata siku moja, na uzuri wake kwa mapishi yoyote yale Wali Maharage utaupenda, iwe mapishi ya Mafuta au Nazi
Huu Msosi kweli unaupenda, naona unasisitiza vile unavyopenda Wali MaharageMaharagwe na wali naupenda sana huu msosi
Nalog off
Tusilipoteze zao hili lenye faida tele ikiwemo Chakula, Mafuta ya kupakaa, na vifuu vinatumika mbadala wa kuniNazi ni zao zuri tusilipoteze
Nalog off
Kuni hutumika sana kwenye upishi huko vijijiniTusilipoteze zao hili lenye faida tele ikiwemo Chakula, Mafuta ya kupakaa, na vifuu vinatumika mbadala wa kuni
Vijijini kuna wanafunzi wanaenda shule pekuKuni hutumika sana kwenye upishi huko vijijini
Nalog off
Vijijini uzuri wake vinapatikana vyakula vya asili na fresh, kwa mfano Mboga inachumwa kisha inaingia jikoni muda huo huo sio ilale kwenye jokofu kisha ipikwe siku ya pili, vijijini vyakula vyao ni vya afyaKuni hutumika sana kwenye upishi huko vijijini
Nalog off
Afya kwanza mengine baadaeVijijini uzuri wake vinapatikana vyakula vya asili na fresh, kwa mfano Mboga inachumwa kisha inaingia jikoni muda huo huo sio ilale kwenye jokofu kisha ipikwe siku ya pili, vijijini vyakula vyao ni vya afya
Mengine baadae Kiongozi, nakubaliana na wewe kwa asilimia zoteAfya kwanza mengine baadae
Nalog off
Zote tamu,zafanana.Mengine baadae Kiongozi, nakubaliana na wewe kwa asilimia zote
Zafanana yale Mabasi ya Kenya bado yanaendeleza safari zake?Zote tamu,zafanana.
Nalog off
Safari zake sijui ziliishia wapi!Zafanana yale Mabasi ya Kenya bado yanaendeleza safari zake?
Wapi inapatikana Supu ya Pweza?Safari zake sijui ziliishia wapi!
Nalog off
Pweza ana nyama tamu sana,ukiipata ile supu yake nayo ni tamuWapi inapatikana Supu ya Pweza?
Ni tamu sana, lakini nimegundua kuna baadhi ya watu hawapendi Supu ya Pweza wala Pweza wa kukaangwa, madai yao Pweza alivyo kama nyokaPweza ana nyama tamu sana,ukiipata ile supu yake nayo ni tamu
Nalog off
Nyoka analika vizuri tu huko TaiwanNi tamu sana, lakini nimegundua kuna baadhi ya watu hawapendi Supu ya Pweza wala Pweza wa kukaangwa, madai yao Pweza alivyo kama nyoka
Taiwan inatakiwa uwe makini kwenye masuala ya msosi vinginevyo utakula visivyolika kwenu, na sio Taiwan tu. Popote ugenini kama una mipaka ya vyakula inatakiwa uwe makiniNyoka analika vizuri tu huko Taiwan
Nalog off
Uwe makini ufikapo ugeniniTaiwan inatakiwa uwe makini kwenye masuala ya msosi vinginevyo utakula visivyolika kwenu, na sio Taiwan tu. Popote ugenini kama una mipaka ya vyakula inatakiwa uwe makini
Ugenini umakini ni lazima kwa kila kitu huku ukiwa unaendelea kuyasoma mazingiraUwe makini ufikapo ugenini
Nalog off