Hadharani au hashaani? wasambaa bwana.Zipu imefunguka mambo yote yako hadharani.
Bwana Misosi sasa naimba, nitoke vipi...Hadharani au hashaani? wasambaa bwana.
Kunielewa ni rahisi sana wala hutotumia nguvuBwana Misosi sasa naimba, nitoke vipi...
Siku nyingi najiuliza, nitoke vipi...
Ndani ya Rap game, nitoke vipi...
Mpate kunielewa...
Nguvu wanazotumia CCM kwenye mapambio ni heri walete maendeleoKunielewa ni rahisi sana wala hutotumia nguvu
Nalog off
Maendeleo Ni jambo lako binafsi hayana uhusiano na chama Cha mapambioNguvu wanazotumia CCM kwenye mapambio ni heri walete maendeleo
Mapambio yakizidi inakuwa ni kejeliMaendeleo Ni jambo lako binafsi hayana uhusiano na chama Cha mapambio
Kejeli gani?? CCM ndio serikali ya hii nchi. Nyerere mwenyewe alisemaMapambio yakizidi inakuwa ni kejeli
Alisema ndio Ila baadaye alikuja kusema alikoseaKejeli gani?? CCM ndio serikali ya hii nchi. Nyerere mwenyewe alisema
Taifa limeshapoteza diraAlikosea sawa,! Ila ukweli hata wewe unaujua hata Tindulisu Ana kuja ccm Mana ndio chama Cha Taifa
Dira ya Dunia na Salim KikekeTaifa limeshapoteza dira
Kikeke sijui Yuko wapi maana mwenzie amepata uteuziDira ya Dunia na Salim Kikeke
Kikeke sijui Yuko wapi maana mwenzie amepata uteuzi
Sana Sana ukitaka kuelewa angalia tamthiliaMifupa 206 ni riwaya nzuri sana
Tamthilia za KiswahiliSana Sana ukitaka kuelewa angalia tamthilia
Kiswahili kigumu kuliko kingereza "eti nimeenda nimemkuta hayupo"Tamthilia za Kiswahili
Hayupo tena DunianiKiswahili kigumu kuliko kingereza "eti nimeenda nimemkuta hayupo"
Mademu wazuri wanazaliwa kila sikuTunduru kuna mademu wazuri
Nalog off
Siku ya leo imepooza sanaMademu wazuri wanazaliwa kila siku