Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Mwakani tena. Mm mwenyewe nilipotea humu nimerudi majuzi.juzi tu hapaMamlaka zote zatoka kwake, nimewamisa watu wa uzi huu imebidi nirudi, ila nitaondoka tena mpaka mwakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani tena. Mm mwenyewe nilipotea humu nimerudi majuzi.juzi tu hapaMamlaka zote zatoka kwake, nimewamisa watu wa uzi huu imebidi nirudi, ila nitaondoka tena mpaka mwakani
Hapa umerudi baada ya kutoka malawiMwakani tena. Mm mwenyewe nilipotea humu nimerudi majuzi.juzi tu hapa
Malawi hapo walipo fiwa na mzee bandaHapa umerudi baada ya kutoka malawi
Banda limekua dogo, kuku wanazidi kuongezekaMalawi hapo walipo fiwa na mzee banda
Kuongezeka kwa maradhi ni ishara ya mwisho wa duniaBanda limekua dogo, kuku wanazidi kuongezeka
Kuongezeka kwa maradhi ni ishara ya mwisho wa dunia
Wanasayansi wote ni waongo sanaDunia yetu n ya duara, ndvyo wasemavyo wanasayansi
Waongo sana Wanasiasa, bora hata WanasayansiWanasayansi wote ni waongo sana
Sana eti tulikua nyani[emoji23][emoji23]Waongo sana Wanasiasa, bora hata Wanasayansi
Nyani haoni kundule.Sana eti tulikua nyani[emoji23][emoji23]
Kundule duh noma
Noma kafia SudanKundule duh noma
Sudan kunaendeka siku hizi?Noma kafia Sudan
Nalog off
Siku hizi matukio ya moto yamezidiSudan kunaendeka siku hizi?
Yamezidi sana, ili kukabiliana nayo inahitajika watu wapewe elimuSiku hizi matukio ya moto yamezidi
Elimu ni kweli inahitajika, lakini pia nyuma ya pazia inawezekana kuna hujumaYamezidi sana, ili kukabiliana nayo inahitajika watu wapewe elimu
Hujuma zinafanywa kwa siri na watu walio na mamlakaElimu ni kweli inahitajika, lakini pia nyuma ya pazia inawezekana kuna hujuma
Mamlaka husika inabidi walifanyie hili kazi kwa kina, vinginevyo huu mchezo wa matukio mabaya ya moto hautoweza kuishaHujuma zinafanywa kwa siri na watu walio na mamlaka
Kuisha haiwezekani maana wenye mamlaka kwa maksudi wameiua elimu ili waendelee kutawala wao na familia zao!Mamlaka husika inabidi walifanyie hili kazi kwa kina, vinginevyo huu mchezo wa matukio mabaya ya moto hautoweza kuisha
Zao la bangi ni ruksa AmericaKuisha haiwezekani maana wenye mamlaka kwa maksudi wameiua elimu ili waendelee kutawala wao na familia zao!