M.COLLINS
Member
- Jan 15, 2013
- 18
- 7
kuzitumia ujumbe ama kuzitumia kama pesa?
Pesa imekua adimu sana Maisha yamebana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuzitumia ujumbe ama kuzitumia kama pesa?
Yamebana kivipi wakati bidashi anaupiga mwingi?Pesa imekua adimu sana Maisha yamebana
Kama yamebana tumia vilainishi ili yateleze kama joka pangoniYamebana kivipi wakati bidashi anaupiga mwingi?
Pangoni kuna kiza kineneKama yamebana tumia vilainishi ili yateleze kama joka pangoni
Salama wasalmin, vipi na wewe uko poa?Mkuu nakusalimia, natumai uko salama
Kiza kinene kimetanda pande zote za DuniaPangoni kuna kiza kinene
Poa tu sijui ninyi huko?Salama wasalmin, vipi na wewe uko poa?
Dunia watu ooh,binadamu wachacheKiza kinene kimetanda pande zote za Dunia
Huko Bungeni hakufaiPoa tu sijui ninyi huko?
Z
Wachache sana wanaozungumza lugha za kigeniDunia watu ooh,binadamu wachache
Z
Hakufai kwa kuwa wako mjengoni kupiga makofiHuko Bungeni hakufai
Makofi ni jina la nyumba ya Wageni huko Nungwi ZanzibarHakufai kwa kuwa wako mjengoni kupiga makofi
Z
Zanzibar beautiful island of AfricaMakofi ni jina la nyumba ya Wageni huko Nungwi Zanzibar
Africa tumejaaliwa Utajiri mwingi sanaZanzibar beautiful island of Africa
Z
Sana sana kutokana na yaliyotokea, inabidi kuongeza ulinziAfrica tumejaaliwa Utajiri mwingi sana
Ulinzi uongezwe ili kujilinda na nchi jiraniSana sana kutokana na yaliyotokea, inabidi kuongeza ulinzi
Jirani yangu jana kaniletea mahindi toka shambaniUlinzi uongezwe ili kujilinda na nchi jirani
Z
Jirani yangu jana kaniletea mahindi toka shambani
Shambani mavuno duni watu wanahamia mijiniShambani hakumtupi mtu, kama unaitaka mali utaipata shambani
Mijini hapafai saivi vitu bei juuShambani mavuno duni watu wanahamia mijini