Others
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,189
- 2,765
@mbaya @mbayani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@mbaya @mbayani
Mbayani ipo Kenya huko@mbaya @mbayani
Huko hapana tofauti na huku, kuna majina ya ajabu na ya kushangaza sana. Huku kuna sehemu panaitwa "maisha ya ndege" na kwngne panaitwa kwa "wabeba lawama"Mbayani ipo Kenya huko
Lawama zinaua MJOMBAAAHuko hapana tofauti na huku, kuna majina ya ajabu na ya kushangaza sana. Huku kuna sehemu panaitwa "maisha ya ndege" na kwngne panaitwa kwa "wabeba lawama"
Mjomba n mama aliyechangamkaLawama zinaua MJOMBAAA
Kho ndo nini mkuu?Kho Kho Kho
Mkuu anapiga hodi, kama sio hodi basi anasumbuliwa na kikohoziKho ndo nini mkuu?
Kikohozi kikavu kinawastua waliolala....Mkuu anapiga hodi, kama sio hodi basi anasumbuliwa na kikohozi
Waliolala wanaota, wengine wanakoromaKikohozi kikavu kinawastua waliolala....
Koroma lina maji mazuriWaliolala wanaota, wengine wanakoroma
Mazuri sana Maji ya Dafu, na hata Maji ya Nazi pia ukibahatikaKoroma lina maji mazuri
Ukibahatika unakua KOMBA.[emoji205]Mazuri sana Maji ya Dafu, na hata Maji ya Nazi pia ukibahatika
Komba alikuwa kaptain, roho yake ilazwe panapostahiliUkibahatika unakua KOMBA.[emoji205]
Panapostahili ni 'Pale Kati Patamu'.Komba alikuwa kaptain, roho yake ilazwe panapostahili
Patamu uwanateleza na sishikikiPanapostahili ni 'Pale Kati Patamu'.
Sishikiki kama AncelottiPatamu uwanateleza na sishikiki
Ancelotti kaka ake pabloSishikiki kama Ancelotti
Pablo Escobar alikuwa muuzaji mkubwa wa madawa ya kulevyaAncelotti kaka ake pablo