Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Mimi ni Ndo Baba yako, Tafadhali usinidharau Mwanangu, kama huamini Fuatilia ujue ukweli.Ndoa sio jambo la kukurupukia kama wewe ulivyokurupuka apa kucomment kinyume na uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Ndo Baba yako, Tafadhali usinidharau Mwanangu, kama huamini Fuatilia ujue ukweli.Ndoa sio jambo la kukurupukia kama wewe ulivyokurupuka apa kucomment kinyume na uzi.
We jamaa kidogo kama fyatu 🤔🤔🤔Mimi ni Ndo Baba yako, Tafadhali usinidharau Mwanangu, kama huamini Fuatilia ujue ukweli.
Karafuu inapatikana hadi morogoro siku hiziPemba kisiwa cha karafuu [emoji28]
acha kuvuta bangiMtoto wa nje ndoa .
Hizi nazo ni za kitambo 😅Karafuu inapatikana hadi morogoro siku hizi
Ktambo 😅 sanaHizi nazo ni za ktambo 😅
Sana sana siku hizi ukiwa chawa ni rahisi kuukwaa wazifaKtambo 😅 sana
wazifa=wadhifaSana sana siku hizi ukiwa chawa ni rahisi kuukwaa wazifa
Wadhifa wa kupewa hauna heshimawazifa=wadhifa
heshima ni kuheshimu wakubwa kwa wadogoWadhifa wa kupewa hauna heshima
Wadogo wa miaka hii hulelewa kimayai mayai, adhabu kidogo tu kwao jamii hutafsiriwa kama ukatikri na kama mtoa adhabu ni mwalimu, walimu wenzio hutumia vishikwambi kurekodi tukio na kurusha mtandaoni.heshima ni kuheshimu wakubwa kwa wadogo
Mtandaoni umesharekebisha lile nenoWadogo wa miaka hii hulelewa kimayai mayai, adhabu kidogo tu kwao jamii hutafsiriwa kama ukatikri na kama mtoa adhabu ni mwalimu, walimu wenzio hutumia vishikwambi kurekodi tukio nankurusha mtandaoni.
80,000 shilingi za kitanzania iliku kima cha chini cha mshahara kilichoizinishwa na serikali miaka zaidi ya kumi iliyopita.Yaani post za kijinga ndio zinapata comments nyingi. Hii ina sifa gani mpaka ipate comments zaidi ya 80,000?
Neno la Mungu litasimama mambo yote yatapitaMtandaoni umesharekebisha lile neno
yatapita kwa kua maisha lazima yaendeleeNeno la Mungu litasimama mambo yote yatapita
Yaendelee malezi yale ya kale, malezi ya kujitambua uwajibikaji toka umri mdogo.yatapita kwa kua maisha lazima yaendelee
mdogomdogo ndio mwendoYaendelee malezi yale ya kale, malezi ya kujitambua uwajibikaji toka umri mdogo.