92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Fail si kawaida mikia inakazi kweli kweliSherehe ya nini wakati wame fail?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fail si kawaida mikia inakazi kweli kweliSherehe ya nini wakati wame fail?!
kweli hata mimi nimeliona hiloFail si kawaida mikia inakazi kweli kweli
Hilo hilo ndio jambo zurikweli hata mimi nimeliona hilo
Zuri sana. Hata hivyo jambo zuri zaidi ni kumtegemea Mungu na kutubu na kuacha dhambi.Hilo hilo ndio jambo zuri
Zuri gani bana...matumizi mabaya ya helaHilo hilo ndio jambo zuri
Wewe kama mimi tu...wote tuko juu ya maweHela unayo wewe
Mawe ya Mwanza yanavutia kwa ukubwa wake na yalivyojipangaWewe kama mimi tu...wote tuko juu ya mawe
Yalivyojipanga utafikiri kuna mtu aliumiza kichwa yawe yalivyoMawe ya Mwanza yanavutia kwa ukubwa wake na yalivyojipanga
Uzuri ni kwamba mwanza hakuna tetemeko la ardhiYalivyojipanga kwa urembo na uzuri
Ardhi isiyo na rutuba hutoa mazao hafifuUzuri ni kwamba mwanza hakuna tetemeko la ardhi
Hafifu pia inatokana na ukosefu wa mboleaArdhi isiyo na rutuba hutoa mazao hafifu
Hafifu pia inatokana na ukosefu wa mbolea
hafifu tena!! Kwn hakuna dawa ya kurutubisha ardhi ikatoa mazao ya kutosha?Ardhi isiyo na rutuba hutoa mazao hafifu
mahind ya kuchemsha ni matamuMbolea ya chumvi chumvi ni nzuri kwa kilimo cha mahindi
Hafifu ni mzee wa kitanga ambaye leo ameshafariki na watu wamemsahauArdhi isiyo na rutuba hutoa mazao hafifu
Kutosha kwa maji kwenye bwawa la Nyerere kutapunguza shida ya umeme nchinihafifu tena!! Kwn hakuna dawa ya kurutubisha ardhi ikatoa mazao ya kutosha?
Wamemsahau vipi mbona haraka Sana?hakuwa na wajukuu?Hafifu ni mzee wa kitanga ambaye leo ameshafariki na watu wamemsahau
Wajukuu? wa nyerere ndio sisi wenye akili mingiWamemsahau vipi mbona haraka Sana?hakuwa na wajukuu?