Wa mwisho ndiyo mshindi

Ccm bila nyie tungekuwa wapi au kwasabbu kambarage amelala ardhni nn?
 
nn kuhusu wanyama wanaopanda ndege kwenda dubai?
 
it can be done through self realization.
 
nayo imeundwa na silabi mbili, ila naona hakuna neno complex kuliendeleza kama x
 
X kitu gani, hili gemu naliise maana lilianza nikiwa mjamzito, sasa mtoto anamwaka na wiki, mpeni huyu mtoto hy zawadi.
 
X kitu gani, hili gemu naliise maana lilianza nikiwa mjamzito, sasa mtoto anamwaka na wiki, mpeni huyu mtoto hy zawadi.

Zawadi atapewa wa mwisho. Kama huyo mtoto ana bahati labda game litaendelea mpaka atakapokuwa memba wa jf na atashinda yeye.
 
Hapa mambo ni mpwito mpwito mpk kieleweke wa mwisho ni nani!?
 
Nani!?Inasemekana atauzwa club nyingine lakini haijajulikana ni wapi bado...ila Gunners watatisha 2013/14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…