Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mkuu kila siku marekani. Nahisi kuna tawi la Tanzania kule na ikulu yetu ndogo.
 
Chupi ndo kila kitu lazima kila mtu avae kasoro masai

Masai wa zamani, wa sasa wanajua kuvaa kuliko waliokuta tushazizoea, yani hadi wanatamani wabadilishe kila baada ya saa moja
 
Moja kwa moja unatokea kwa mkurugezi alie lala na mke wa mtu jana usiku na kusahau malipo ya wafanyakazi wake
 
..wasimfumanie kwa sababu yeye ni kiongozi aliyejivalia ngozi ya kondoo..
 
Habari kubwa ni watoto wangapi ameshawabaka ambao hawajaweza kutoa taarifa ya kubakwa
 
Taratibu waandishi wangu wahoji mtoto na wake zake muheshimiwa mbakaji Kwanini hapa sasahivi pengine anabaka
 
Back
Top Bottom