nguruwe pita leo sina mkukiTu peke yake haitoshi, labda niongeze kwa kumuita nguruwe
Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa kulima bangiZile enzi za Mwalimu na Azimio la Arusha...
Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa kulima bangi
Aisee ni kweli kabisa bangi mmea mtamu sana kama mchunga pooori teh teh,mi mshindi kwi kwi aha ha ha!bangi ni mmea mtamu sana
Aisee ni kweli kabisa bangi mmea mtamu sana kama mchunga pooori teh teh,mi mshindi kwi kwi aha ha ha!
hahahaha! Huwezi kuwa mshindi wakati unausifia mmea aina ya bangi labda kama Teja ndio atakayetangaza Mshindi.
utata kwenye kulipa madai ya walimu
Mkubwa mtoto wa mwenzio,ndoo mtoto wa watu alipigwa masanga na kapuya bila kujali umri wake!
Umri wake na mambo aliyofanya ni vitu viwili tofauti.
Droo haipo hapo kama hamlingani urefu hamlingani tu.
sahihi ni kuamini kuwa kapuya alibaka