pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Africa is the future
Future of africa is coming late
Late nite show ya EA RADIO naipenda hasa ikitangazwa na Sebastian ana sauti bomba
Bomba sana pakiwa hamna usumbufu pametulia
pametulia huku nikiwa na laaziz wangu pembeni mwa kitanda
Mawaziri wote bado mizigo.
KWELI lakini taji natwaa MIMI achen ubixhi jaman nana anabixha
anabixha ndio kiswahili gani,uandishi wa namna hii huwa wanikera naweza kuchukua bakora nikutandike vibaya sana
Sana sana mikononi ili ajifunze kuandika kwa ufasaha
ufasaha wanaujua na wanaweza kuandika lakini kutwa kuandika hivi nahisi ni div five ya Mulugo
Sana sana mikononi ili ajifunze kuandika kwa ufasaha
Mulugo naye aliiweka kwanini
kwanini unadhani katoswa kwenye hili baraza jipya
kwanini unadhani katoswa kwenye hili baraza jipya
Jipya?hili sio baraza jipya ni funika kombe mwanaharamu apite.
Apite aende wapi na serikali ni mbili
Republic of South Africa
Mzuri mchango wako lakini sijakuelewa sababu hujafuata sheria za hukuSwala ni kua na serikali tatu yakwa yakwetu na inayotuunganisha tu basi huu ndio mpango mzuri