Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulegeza
mwendo ni vibaya sana
Omygad ndo nini?
Nini cha kufanya hutujui, Wambuzi njoo tukuchagulie mji ufunge mjadala.
Mungu huyo huyo mnatakiwa mmuheshimu sio muna mchanganya kwenye mambo yakipuuzi
kipuuzi na kijinga sidhani kama Mungu mwenyewe atapenda
Atapenda tu pale mtu akiacha mambo ya kipuuzi...
kipuuzi linanipa shida kuongezea manemo kwa mbele usiliweke tena
Tena umenikumbusha hahahh!,
Sio neno zuri kulitaja taja..
Mwisho-we atakosekana mshindi kwasababu ya kutofuata sheria ipaswavyo.Taja mambo yote ila Mungu ndo mwanzo na mwisho