Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mdogo-mdogo ni kati ya nyimbo zenye video nzur lakini ile video na kilichoibwa havina ufanano.
Ufanano upi unaozungumzia wewe wakati video moja wameigiza vijeba wakiwa geto na nyingine maandunje.
 
hata kama ukiandika sentensi hazisomeki mwishoni, ila hii zawadi lazima tutailamba

Tutailamba kivipi nawakati mpaka sasa nimeshashinda maana umeanza na neno""hata""na wakati sio neno la mwisho katika kommenti yangu hapo juu,hahahha kubalini tu kwamba nimewashinda wote na mwenyeuzi inatakiwa anipe zawadi.
 
Tutailamba kivipi nawakati mpaka sasa nimeshashinda maana umeanza na neno""hata""na wakati sio neno la mwisho katika kommenti yangu hapo juu,hahahha kubalini tu kwamba nimewashinda wote na mwenyeuzi inatakiwa anipe zawadi.
zawadi utapata tu iwapo unafuata kanuni za mchezo huu, hizo symbols umetumia haziruhusiwi, kinachoruhsiwa ni sentensi yenye maneno timilifu.
 
zawadi utapata tu iwapo unafuata kanuni za mchezo huu, hizo symbols umetumia haziruhusiwi, kinachoruhsiwa ni sentensi yenye maneno timilifu.

Maneno timilifu tena!🙄,haya bana naona zawadi mmeiwekea zengwe ngoja nisepe.
 
Maneno timilifu tena!🙄,haya bana naona zawadi mmeiwekea zengwe ngoja nisepe.

Nisepe ni neno la mitaan ambalo kimsing linakaribia kuwekwa kua neno rasim katika kamusi ya kiswahli na kutumika na watumiaji wa lugha hii adhimu
 
Nisepe ni neno la mitaan ambalo kimsing linakaribia kuwekwa kua neno rasim katika kamusi ya kiswahli na kutumika na watumiaji wa lugha hii adhimu

Adhimu ni msamiati mpya?au ulimaanisha adimu?,Du kumbe kuna haja ya kurudi nyumbani
 
nyumbani kwanini mkuu? adhimu humaanisha maalum kama sijakosea kioju
 
Last edited by a moderator:
wambuzi au wameee ndo uso wanaoonesha wabunge wengi wa ukawa ikifika swala la serikali mbili
 
Mbili wapeleke hukoo hapa mpango ni serikali tatu

Serikali tatu ndo mfumo gani?kwani nini kimeshindikana mpaka tutumie serikali tatu?.Sasa kama mbili mambo yako hivi je tatu?,Nikitaka viza kusafiri nje si itamaliza mwaka?
 
Back
Top Bottom