Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kikamilifu lakini hela zao bado tunazitaka
Tunaitaka hiyo kwiyo. Nchi yetu ina kila aina ya rasilimali ambazo kupitia kwazo tunaweza kujitegemea na misaada tukawapa wao. Ukiangalia kwa undani hata hizo hela wanazotupatia haziendani na mali wanazochukua km fidia. Cha msingi ni kuwapiga chini tujikongoje wenyewe maana tuna ardhi yenye rutba, tuna madini, tuna bahari na maziwa tuna mbuga za wanyama tuna gesi. Wao waende zao tujenge nchi yetu wasitubabaishe bana
 
Tunaitaka hiyo kwiyo. Nchi yetu ina kila aina ya rasilimali ambazo kupitia kwazo tunaweza kujitegemea na misaada tukawapa wao. Ukiangalia kwa undani hata hizo hela wanazotupatia haziendani na mali wanazochukua km fidia. Cha msingi ni kuwapiga chini tujikongoje wenyewe maana tuna ardhi yenye rutba, tuna madini, tuna bahari na maziwa tuna mbuga za wanyama tuna gesi. Wao waende zao tujenge nchi yetu wasitubabaishe bana
Bhana umewatapikia walichokulisha bila staha.
 
Taadhima ??
Taadhima tuliyonayo sasa kama taifa imetufanya tusifikie ulimwenguni kwa harakati za kutaka kujikwamua kwenye utegemezi katika uchumi kutokana na uwekezaji kwenye miradi mikubwa ya umeme, maji, miundombinu ya barabara na reli, huduma za maji, shule na afya na pia kwenye sanaa, utamaduni (lugha yetu na maadili ya Kitanzania) na ushindani fanisi wa kibiashara
 
Sana naona wote mmeamua kutudharau wanawake ila mkumbuke mama zenu pia ni wanawake,mtupende sisi ni mama zenu na dada zenu
Zenu na zetu juhudi zikiungana pamoja kwa umoja bila ubinafsi, muda si muda Tanzania [emoji1241] inakuwa zaidi ya Ulaya kimaendeleo na ustawi wa mtu mmojammoja nchini kote
 
Back
Top Bottom