Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Hii ndio mitaa yetu ya kujidai lazima nijeHuu mda??nilikuwa nakusuribi nikwambie leo sijakuona mitaa hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio mitaa yetu ya kujidai lazima nijeHuu mda??nilikuwa nakusuribi nikwambie leo sijakuona mitaa hii
Nije wap tena,watu wote wameenda kulalaHii ndio mitaa yetu ya kujidai lazima nije
Kulala kupo tu hata kesho utalalaNije wap tena,watu wote wameenda kulala
utalala ndio ila utachelewaKulala kupo tu hata kesho utalala
Utachelewa kazini na kuwa kero kwa boss onlyalvirautalala ndio ila utachelewa
Utachelewa kazini na kuwa kero kwa boss onlyalvira
Huko unakoelekea ndiyo unaharibu sasa mitano+mitano inatosha na katiba si inaeleza hivyoOnlyalvira should know that maendeleo ya kweli yanaletwa na kiongozi mwenye kuthubutu, mzalendo kindakindaki, mcha-Mungu, awapendaye raia wake, na mpiga-vita rushwa, ufisadi & ubadhirifu wa mali za umma -- huyo ndiye Bulldozer JPM katika ubora wake; anatakiwa atawale hadi miaka mia tano huko
Huko unakoelekea ndiyo unaharibu sasa mitano+mitano inatosha na katiba si inaeleza hivyo
Pamoja na utashi wako na maono yako umeshindwa kung'amua kuwa mifumo imara ya kiserikali ndiyo itatuletea viongozi bora na si kumtegemea mtu mmoja taifa zima akifa?Hivyo nisemavyo ndiyo maamuzi ya wengi Watanzania kwa sababu tunajua njozi ya JPM za ustawi & maendeleo ya nchi yetu hajapata kuwa nazo kiongozi yeyote; lazima tutake tusitake aongezewe muda mwingi tu mpaka Tanzania iwe zaidi ya Ulaya, Urusi na Marekani kwa pamoja
Akifa Sheikhe basi Imamu huongoza ibada na akifa imamu basi muadhini atasogea KiblaPamoja na utashi wako na maono yako umeshindwa kung'amua kuwa mifumo imara ya kiserikali ndiyo itatuletea viongozi bora na si kumtegemea mtu mmoja taifa zima akifa?
Kibla huwa ni upande gani?Akifa Sheikhe basi Imamu huongoza ibada na akifa imamu basi muadhini atasogea Kibla
Gani mwelekeo wa katikati ya Dunia ni NorthEast mwa Afrika-Mashariki !!Kibla huwa ni upande gani?
mashariki ipi unaizungumziaGani mwelekeo wa katikati ya Dunia ni NorthEast mwa Afrika-Mashariki !!
Unaizungumzia ajali ya sisimizi kurumbukia kisimani....mashariki ipi unaizungumzia
kisimani kuna nini zaidi ya maji tunayotumia kwenye shughuli za kila sikuUnaizungumzia ajali ya sisimizi kurumbukia kisimani....
Siku ya leo imesha salama kwa upande wangu,Mungu ni mwemakisimani kuna nini zaidi ya maji tunayotumia kwenye shughuli za kila siku
Mwema kwa viumbe na mimea na kauni zote bila ubaguzi...Siku ya leo imesha salama kwa upande wangu,Mungu ni mwema
Ubaguzi sio sifa ya AllahMwema kwa viumbe na mimea na kauni zote bila ubaguzi...
Bila ubaguzi wala hiana, kuna watu wanashindwa kutambua kuwa unaweza kuwa na mfumo imara ama Katiba madhubuti kabisa, lakini kama kiongozi wa juu ni mbovu, tambua mfumo kwa peke yake huwa haujisimamii wenyewe; lazima kiongozi awe mzalendo, mwadilifu na mpenda-maendeleo ndipo tunaweza kuzungumzia habari ya mfumo na katiba makiniMwema kwa viumbe na mimea na kauni zote bila ubaguzi...
Katiba makini itapatikana tutakapo kaa na kujadili pamoja mezani...Bila ubaguzi wala hiana, kuna watu wanashindwa kutambua kuwa unaweza kuwa na mfumo imara ama Katiba madhubuti kabisa, lakini kama kiongozi wa juu ni mbovu, tambua mfumo kwa peke yake huwa haujisimamii wenyewe; lazima kiongozi awe mzalendo, mwadilifu na mpenda-maendeleo ndipo tunaweza kuzungumzia habari ya mfumo na katiba makini